• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAKUU WA WILAYA NA WAKURUGENZI WAFURAHISHWA NA MIRADI YA TASAF- KARATU

Posted on: September 29th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Dadi Kolimba amesema Wilaya yake imefanya vizuri katika kutekeleza miradi ya wananchi kupitia mfuko wa kunusuru kaya maskini (TASAF) imetokana na ushirikiano uliopo baina ya viongozi, wataalamu na wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa akikagua miradi ya wananchi iliyotekelezwa na TASAF awamu ya nne katika ziara maalumu ya kujengeana uelewa wa pamoja kwa viongozi wa Wilaya, Halmashauri na waratibu wa TASAF ngazi za Halmshauri.

"Kufanya kazi kwa ushirikiano ndio kumepelekea miradi hii kukamilika kwa kiwango kikubwa na kwa ubora".

Aidha, Mhe. Kolimba amesema miradi mingi imeibuliwa na wananchi wenyewe kwenye maeneo yao kutokana na changamoto wanazokuwa wanakutana nazo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Mangwala amesema amefurahishwa na miradi ya TASAF Wilayani Karatu imefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Wamejifunza kushirikiana kwa ukaribu zaidi kati ya  Serikali na wananchi ili kutambua na kukamilisha miradi kwa wakati.

Aidha, Mhe. Mangwala amewashauri wataalamu kutoka TASAF Makao Makuu kuangalia zile Halmashauri zinazofanya kazi vizuri kuziongezea fedha za miradi mingi zaidi ili iwe kama motisha kwa wengine kufanya vizuri zaidi.

Amewahasa waendelee kutunza miradi hiyo ili ilete manufaa zaidi kwa wananchi.

Ziara ya kukagua miradi ya TASAF kwa Mkoa wa Arusha imefanywa kwa lengo la kujengeana uelewa wa pamoja kuhusu utekelezaji wa miradi hiyo kwa ngazi ya Mkoa na Halmashauri.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa