• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAMACHINGA WAHAMASISHWA KUCHUKUA VITAMBULISHO

Posted on: February 1st, 2019

Watendaji wa Kata watakiwa kuwafuata wamachinga katika maeneo yao ya biashara na kuwasajiri katika mfumo wa mapato ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na hii itawasaidia kuwatambua.

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Mashaka Gambo alipokuwa akikabidhi vitambulisho 32,000 kwa Mkuu wa Wilaya ya Jiji la Arusha kwa awamu ya pili.

Amesema elimu iendelee kutolewa kwa wananchi ili wafahamu vigenzo na masharti ya utoaji wa vitambulisho hivyo vya Machinga, kwani bado watu wanadhani ni kila mfanyabaishara anatakiwa kupewa.

Gambo amewataka Watendaji wa Kata zote katika Jiji la Arusha kwenda kuifanya kazi hii kwa kufa na kupona na kabla ya mwezi Februari kuisha vitambulisho vyote viwe vimeshatolewa kwa wahusika.

Akipokea vitambulisho hivyo Mkuu wa Wilaya ya Jiji la Arusha Gabriel Daqarro amesema, katika ugawaji wa awamu ya kwanza Jiji la Arusha lilipata vitambulisho 8000 na vitambulisho 6719 vimeshagawiwa na 1236 bado havijagawiwa kwa wamachinga.

Ugawaji wa vitambulisho vya Machinga kwa awamu ya pili kwa Mkoa wa Arusha umepata vitambulisho 100,000 ikiwa awamu ya kwanza Mkoa ulipata vitambulisho 25,000, na ugawaji wa awamu ya pili utaendelea katika Wilaya nyingine za Mkoa huku Jiji la Arusha likipatiwa vitambulisho 32,000.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa