• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAMILIKI WA SHULE MKOANI ARUSHA WAMETAKIWA KUFUATA MIONGOZO YA UWENDESHAJI WA SHULE

Posted on: December 19th, 2020

Wamiliki wa shule binafsi Mkoani Arusha wametakiwa kuhakikisha wanafuata miongozi na taratibu za uwendeshaji wa shule zao hasa zinazotolewa na Wizara ya Elimu na TAMISEMI.

Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akifungua kikao cha kutangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021.

Amesema kitenda cha baadhi ya shule kufutiwa matokea kwasababu ya udanganyifu uliofanyika katika shule hizo ni kitendo cha aibu sana na kinarudisha maendeleo ya ufaulu nyuma.

“Ninakilaani sana kitendo hiki cha baadhi ya shule kufanya udanganyifu katika mitihani na kupelekea wanafunzi kufutiwa matokea, wakati wazazi wamelipa ada kwa ajili ya watoto wao.

Mhe. Kimanta amewataka wamiliki wa shule hizo kuwa waaminifu kwa kuongeza juhudi za ufundishaji ili waweze kupata matokea mazuri na halali.

Akisoma taarifu fupi ya matokeo hayo Kaimu Afisa Elimu Mkoa bwana Emmanuel Maundo amesema, jumla ya wanafunzi 40,729 walisajiliwa kufanya mtihani na 37,057 ndio waliofaulu sawa na asilimia 92.42.

Ufaulu huo ikiwa ni ongezeko la wanafunzi 2,548 sawa na asilimia 0.75 kulinganisha na mwaka 2019 ambapo ufaulu ulikuwa ni asilimia 91.67.

Bwana Maundo amesema, kutokana na ufaulu huo kumepelekea hata uhitaji wa miundo mbinu ya shule kuongezeka kama madarasa, madawati, viti na meza na matundu ya choo.

Mkoa wa Arusha umeshika nafasi ya pili Kitaifa katika matokea ya darasa la saba kwa mwaka 2020.

       

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa