• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WANAFUNZI ARUSHA WAASWA KUSOMA KWA BIDII KWA KUWA SERIKALI INAWATEGEMEA...

Posted on: October 22nd, 2023

Na Elinipa Lupembe


Wanafunzi wametakiwa kutumia muda wao vizuri kwa kusoma kwa bidii ili kupata ujuzi na maarifa kwa kuwa serikali imewekeza fedha nyingi kwenye miundombinu ya sekta ya elimu ili kuwa na mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi na walimu.


Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K. Mongella wakati  alipotembelea shule ya wasichana Arusha na kupata fursa ya kuwafundisha wanafunzi wa kidato cha sita somo la Uchumi.


Mhe. Mongella amesema kuwa licha ya serikali kutoa elimu bila malipo imeenda mbali zaidi kwa kuwekeza na kufanya maboresho makubwa kwenye miundombinu ya elimu, lengo likiwa ni kuzalisha watalamu wa fani mbalimbali ambao watakuja kulitumikia Taifa la Tanzania.


"Serikali ya awamu ya sita imetoa fursa kwa kila mtoto wa kitanzania kusoma, imetekeleza miradi mingi ya elimu, imeajiri walimu sasa kazi kubwa iliyobaki ni ninyi wanafunzi kutumia fursa hii kusoma kwa bidii na kupata ujuzi na maarifa sambamba na kufikia ndoto za kuwa watalamu wabobezi wa nchi yetu" Amesema Mkuuu huyo wa mkoa.


Aidha amewasihi wanafunzi hao kuwa na uelewa wa masomo wanayosoma kwa kuyahusianisha na maisha yao ya kila siku jambo ambalo litawafanya kuweza kutumia taaluma zao katika kulitumikia Taifa.


Hata hivyo Mhe. Mongela aliwauliza wanafunzi hao wanawezaje kuhusianisha somo la Uchumi na maisha ya kawaida sambamba na miundombinu ya madarasa na mabweni inayojengwa na serikali shuleni hapo.


Marry Joseph Kuandika amesema kuwa, uwekezaji wa miundombinu katika shule ya wasichana Arusha, umelenga kuwainua wasichana kielimu ili kujenga usawa kati ya wasichana na wavulana kutokana na 'gape' lililokuwepo hapo awali ambapo wavulana peke yao ndio walipata fursa ya kusoma kuliko wasichana.


Ameongeza kuwa msichana ni mama, ambaye kiasili ndiye mlezi wa familia na Taifa pia, hivyo ukimuelimisha mwananmke umeielimisha jamii, serikali inawaanda wasichana ambao watakuwa walezi wa jamii iliyokombolewa kifkra kupitia elimu waliyoipata.


"Tunamshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan kwa kutujali wasichana wa Tanzania, tunaamini analiongoza taifa letu kwa upendo kama mama anayetamani kila mtoto wake afanikiwe kila kitu" Amesema Marry Joseph


Awali kuelekea miaka mitatu ua awamu ya sita, mkoa wa Arusha  unatekeleza miradi ya elimu kupitia Miradi ya UVIKO 19, Kapu la mama,  SEQUIP, BOOST na EP4R miradi ambayo imeboresha miundombinu ya shule, nyu,ba za walimu pamoja na uendeshaji wa shule unaochangia kupanda kwa kiwango cha taaluma.


#ArushaFursaLukuki

#KaziInaendelea


PICHA



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa