• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WANAFUNZI ARUSHA WAHIMIZWA KUSHIRIKI MICHEZO KUKUZA UWEZO WA KUJIFUNZA.

Posted on: March 29th, 2024

Na Elinipa Lupembe


Wanafunzi mkoani Arusha wametakiwa kujenga tabia ya kushiriki michezo mbalimbali wawapo shuleni, kwa kuwa michezo huchangamsha mwili na akili ya binadamu na kumuongezea uwezo wa kufikiriki na kuchagiza hali ya mwanafunzi kujifunza.


Rai hiyo, imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K Mongella, wakati akikabidhi mipira 1000 ya mchezo wa soka kwenye shule za msingi na sekondari za mkoa huo, iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani - FIFA, kupitia Chama cha Mpira wa Miguu Tanzania - TFF, kwa lengo la kuendeleza michezo shuleni pamoja na kuibua na kukuza vipaji vya wanafunzi.


Mhe. Mongella, amewasisitiza wanafunzi kushiriki michezo wawapo shuleni, kwa kuwa upo uhusiano mkubwa kati ya michezo na akili ya mwanafunzi katika uwezo wa kufikiri na kumuwezesha kufanya vizuri kwenye masomo licha ya kuwa michezo hujenga afya.


"Tunapaswa kutambua michezo ni afya, kila mmoja wetu ajenge tabia ya kushiriki michezo kwa kuwa huufanya mwili kuchangamka na kuondoa ugoigoi zaidi michezo huamsha akili na kuongeza uwezo wa kufikiri hivyo kwa wanafunzi michezo huongeza na kuamsha uwezo wa kufujifunza, upo uhusiano chanya kati ya michezo na masomo" Amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa


Aidha, amewasisitiza Maofisa Elimu wa ngazi zote kwa kushirikiana na walimu kuwasimamia kutumia mipira hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa ya kuendeleza soka shuleni pamoja na kuhakukisha wanafunzi wanashiriki michezo na kupata timu za kushiriki mashindano ya ngazi zote mpata Taifa na Kimataifa


Hata hivyo, amemeishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Jemadari Dkt. Samia kwa kundeleza michezo shuleni, licha ya kuwekeza fedha nyingi kwenye  kuboresha miundombinu ya shule, ameenda mbali zaidi kwa kutoa mipira kwa wananfunzi ili kuendeleza michezo shuleni.


Serikali ya awamu ya sita imewe historia kwenye sekta ya michezo, Mhe. Rais ametoa hamasa kwenye soka, tumeshuhudia Timu ya Taifa ikisonga mbele, huku vilabu vikubwa nchini vya Simba na Yanga, vikiingia robo fainali kwenye mashindano ya kimataifa, historia ambayo haijawahi kutokea.


Katika program ya FIFA ya kuendeleza michezo shuleni kupitia TFF, Mkoa wa Arusha umepokea mipira 1000 kwa ajili ya shule 100 za Msingi na Sekondari katika Halmashauri zozotsaba za Mkoa wa Arusha, ambapo kila shule iliyoainishwa imepata mipira 10.


#ArushaFursaLukuki

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa