• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KASIMAMIENI SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI-MWAISOBA

Posted on: August 2nd, 2020

Mkurugenzi wa idara ya habari na elimu kwa mpiga kura kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi bwana Cosmas Mwaisoba, amewataka waratibu na wasimamizi wa uchaguzi kufuata maelekezo watakayopewa na tume ili wasifanye kazi kwa mazoea.

Bwana Cosmas ametoa maelekezo hayo alipokuwa akifungua mafunzo kwa niaba ya Mkurugenzi wa uchaguzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi  Daktari Charles  Maela ,kwa waratibu wa mikoa,wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

Amesema wanatarajia kupata uzoefu pia kutoka kwa wasimamizi wazoefu ili hata wale wasimamizi wapya waweze kujifunza mengi kutoka kwao.

Mwenyekiti wa wasimamizi wa uchaguzi Mkoa wa Arusha Daktari John Pima amesema, watahakikisha yale yote watakayo elekezwa wanayafikisha kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata huku wakifuata sheria na taratibu za uchaguzi.

Nae Mratibu wa uchaguzi Mkoa wa Arusha bwana Elgin Nkya amewashauri wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha katika maeneo yao ambayo hayafikiki kirahisi wapeleke vifaa vya uchaguzi kwa wakati ili kurahisisha upigaji kura kwa haraka.

Mafunzo hayo yatafanyika kwa siku 3 na lengo kubwa ni kutoa maelekezo ya uchanguzi wa Rais na wabunge kwa waratibu na wasimamizi wa uchaguzi wa mikoa hiyo ya Arusha na Kilimanjaro.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa