• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATAALAM WA HALMASHAURI WATAKIWA KUSHIRIKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA US- Aid KIZAZI HODARI..

Posted on: November 6th, 2024


Watalamu wa sekta mtambuka Halmashauri za Arusha, Jiji la Arusha na Monduli, wametakiwa kutoa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza mradi wa US- Aid Kizazi Hodari unaotekelezwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Kanda ya Kaskazini Mashariki unaolenga kuboresha Afya, Ustawi na Ulinzi wa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, vijana na walezi wanaotoka katika mazingira yaliyoathirika sana na maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI.

Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala Msaidizi, Mipango na Uratibu, Apolinary Seiya, kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Albano Musa, wakati akifungua kikao kazi cha kujadili mikakati ya kutekeleza mradi huo kwa mwaka 2025 pamoja na kujadili utekelezaji wa mradi huo kwa kipindi kilichopita cha mwaka 2024 kilichofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Amesema kuwa, Mkoa wa Arusha unaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha Ustawi wa watoto, vijana, familia pamoja na wananchi kwa ujumla wa Mkoa huo unaboreka zaidi.

Kwa upande wake Mkurugenzi mshiriki wa Asasi zinazotekeleza Mradi huo wa USAID Kizazi Hodari Kanda ya Kaskazini Mashariki, Aminiel Mongi amesema kuwa Mradi huo utatekelezwa kwenye Mikoa 9 na halmashauri 48 za Kanda ya Kaskazini Mashariki baada ya kuongezeka kwa halmashauri 8 ikiwemo Halmashauri ya Arusha ambazo hazikuwepo kwenye mradi huo.

Hata Hivyo, Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Arusha, Dennis Mguye amesema kuwa ujio wa mradi huo ni hatua muhimu ya kuongeza nguvu kwa wasimamizi wa mashauri ngazi ya jamii kuibua watoto wenye waishio katika mazingira hatarishi na kuwapatia huduma.

Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha Seleman Msumi ikiwa ni halmashauri iliyoingizwa kwenye utekelezaji wa mradi huo, amesema kuwa halmashauri hiyo imeweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia, hivyo mradi huo utaongeza nguvu kwa pamoja kukomesha matukio ya kikatili.

Hata hivyo, mradi huo umekuwa na mafanikio makubwa kwa mwaka 2024 ambapo watu 7,154 walifikiwa na kupewa huduma sawa na 104% ya watu 6,872 ya watu waliopangwa kufikiwa na kupewa huduma.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa