• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATAHINIWA 39,075 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI MKOA WA ARUSHA 2024..

Posted on: October 28th, 2024

Na Elinipa Lupembe.

Jumla ya watahiniwa 39,075 mkoa wa Arusha wanatarajika kufanya mtihani wa kidato cha pili mwaka 2024, unaotarajia kuanza nchini leo tarehe 28 Oktoba, 2024, kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).

Akizungumza na mwandishi wetu, Afisa Elimu Mkoa wa Arusha Mwl. Sara Mlaki amesema kuwa, idadi hiyo ya watahiniwa inajumuisha watahiniwa wa shule (school candidates) na watahiniwa wakujitegemea (private candidates) ambapo  watahiniwa 38,594 ni wa shule na watahiniwa 481 ni wakujitengemea.

Amefafanua kuwa, katika idadi ya watahiniwa wa shule 38,594  wavulana ni 18,066 na wasichana 20,528 watakaofanya mitihani, kwenye shule 275 za Serikali na binafsi zikiwa na jumla ya mikondo 1,046.

Aidha, kwa watahiniwa binafsi 481, wavulana ni 199 na wasichana 282, watafanya mitihani yao kwenye vituo 48 vikiwa na mikondo 28.

Hata hivyo, Afisa Elimu huyo, amethibitisha kukamilika kwa maandalizi yote muhimu,  ikiwemo semina elekezi kwa wasimamizi wa mitihani hiyo zimefanyika sambamba na usalama wa miundombinu kwa kuzingatia taratibu zote za Mitihani ya Taifa.

Awali, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, inawatakia kila la kheri watahiniwa wote katika mitihani hiyo muhimu ya upimaji kwa wanafunzi wa kidato cha pili mwaka 2024.

KILA LA KHERI KIDATO CHA PILI 2024; MWENYENZI MUNGU AWASIMAMIE✍

@ortamisemi @necta_tanzania @wizara_elimutanzania @taasisiyaelimu @maelezonews @merudistrictcouncil2 @ngorongoro_dc @longido_district_council @arusha_district_council @halmashauri_ya_karatu

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa