• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATALII WATAPENDA KUHUDUMIWA NA MTANZANIA ALIYECHANJWA CHANJO YA UVIKO 19

Posted on: August 9th, 2021

"Mkichanjwa wote mtawafanya watalii kutoka nje ya nchi wawe na amani na wengi watavutiwa kuja Tanzania hasa Mkoa wetu wa Arusha ambao ni kitovu cha Utalii".

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella alipokuwa akikagua zoezi la utoaji chanjo ya UVIKO 19 katika ofisi za chama Cha waendesha watalii Tanzania (TATO),Jijini Arusha.

Mtalii anapokuja Tanzania atapenda kuhudumiwa na watu waliochanjwa kuanzia Dereva hadi muongoza watalii, hivyo ni vizuri wadau wa sekta hii kuichukulia chanjo hii kama ni njia ya kurudisha hali nzuri ya Utalii Mkoani kwetu.

Amewataka Wakurugenzi wa makampuni ya Utalii kuwahamasisha wafanyakazi wao kupata chanjo ili iwe rahisi kwao kupata kazi nyingi kutoka kwa watalii hao.

Aidha, ameupongeza uongozi wa chama Cha waendesha watalii Tanzania (TATO) kwa kuwaimiza wanachama wao kupata chanjo ya UVIKO 19, na ameaidi Serikali kuendelea kushirikiana nao kwa kuhakikisha hali ya Utalii inarudi kama awali.

Nae, Mwenyekiti wa TATO bwana Wilbad Chambulo amesema wao kama wadau wa Utalii wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuchanjwa kwani hakuna mtalii kutoka nje atakaependa kufanyakazi na Mtanzania ambae hajachanjwa.

Amewasisitiza wanachama wa chama hicho hasa waliochanjwa kuwahamasisha wenzao ambao hawajachanjwa waweze kupata chanjo hiyo mapema kwani hali ya Utalii katika Mkoa wa Arusha imeanza kuimarika kidogo.

Mkurugenzi wa kampuni ya Serengeti Balloon Safari bwana John Course ameipongeza Serikali kupitia kwa Mhe Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kukubali watanzania wachanjwe chanjo ya UVIKO 19.

Anasema ilikuwa ni kilio chao cha muda mrefu, na sasa Serikali imeweza kukitimiza na wanauhakika sasa utalii utarudi kwenye hali yake ya awali.

Amewasihi watanzania kutoogopa kupata chanjo hiyo kwani ni salama kabisa na itaiweka huru nchi yetu.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha Dkt. Silvia Mamkwe amesema bado watu wanatakiwa kujitokeza kwa hiari kupata chanjo ya UVIKO 19 kwani ili nchi iweze kuwa huru na janga hili inaitaji kuwa na watu waliochanjwa kati ya 60% hadi 80%.

Amesema kwa Mkoa wa Arusha jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika kuhakikisha watu wengi wanachanjwa na moja ya njia ya kuhamasisha ni kuwa na gari litakalopita katika Mitaa mbalimbali ili kutoa chanjo hiyo kwa wale ambao watashindwa kufika katika vituo husika.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa