• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATANZANIA WATAKIWA KUNYWA MAZIWA KWA WINGI

Posted on: May 29th, 2018

Watanzania watakiwa kuwa na utamaduni wakunywa maziwa kila siku ili kujenga afya za miili yao na kuongeza pato la taifa.

Akizungumza na waandishi wa habari,Mkuu wa Wilaya ya Arusha Daniel Daqarro kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,amesema katika kuadhimisha wiki ya maziwa Mkoani Arusha, wananchi wanapaswa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya Themi Njiro maalufu kama viwanja vya nanenane.

Amesema maonyesho hayo ya wiki ya maziwa yanatija kubwa sana kwa wafugaji,wasindikaji na wananchi kwa ujumla kwani wataweza kujifunza juu ya umuhimu wa unywaji maziwa na ufugaji wa kisasa.

Aidha,amewataka maafisa mifigo wote kuhakikisha wanasambaza elimu hiyo mpaka ngazi za chini kwenye jamii hususani namna ya ufugaji wa Ngo’mbe  wachache na wenye tija.

Mwenyekiti wa bodi ya maziwa bwana Charles Malunde, amesema unywaji wa maziwa kwa Mtanzania mmoja ni wastani wa lita 47 kwa mwaka ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika Mashariki ambapo wastani upo juu,hasa nchi ya Kenya ni lita 63 kwa Mwaka.

Amesema maziwa ni mlo kamili kwani yamebeba virutubisho vya aina zote vinavyoitajika katika mwili wa binadamu.

Akisisitiza zaidi,amesema Tanzania ina takribani  Ng’ombe milioni 30.5 ambapo Ngo’mbe milioni 27 niwakienyeji na wanatoa lita 1 hadi 1.5 ya maziwa kwa siku na milioni 1 ndio Ngo’mbe wa kisasa.

Tanzania ina idadi kubwa ya Ngo’mbe na hawana tija katika uzalishaji wa maziwa kwani Ngo’mbe wa kisasa wanauwezo wakutoa lita 30 hadi 40 za maziwa kwa siku.

Kaimu Mkurugenzi wa balaza la Kilimo Tanzania bwana Timothy Mbaga,amesema maonyesho hayo ya 21 hayatakuwa na kiingilio chochote ili kutoa fursa zaidi kwa wafugaji kushiriki kwa wingi.

Pia maonyesho hayo yatawasaidia wafugaji kupata maarifa mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi na takribani makapuni 40 yameshathibitisha ushiriki.

Maonyesho ya mifugo na wiki ya maziwa Kitaifa yatafanyika jijini Arusha kuanzia Mei 30 hadi Juni 1, 2018 katika viwanja vya Themi Njiro na yatafunguliwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Luhanga Mpina na kufungwa na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Selemani Jafo.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa