• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATOTO WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU WAMENUFAIKA

Posted on: June 14th, 2022

Walengwa 7,652 wamenufaika na mradi wa ACHIEVE katika maswala mbalimbali ikiwemo kuwashonea sale za shule watoto 430, kujiunga na elimu ya ufundi VETA na kuwanunulia vifaa watoto 6, kutoa chakula na lishe bora kwa watoto 4,279, kutoa ulinzi na usalama kwa watoto na vijana 1,467, utoaji wa elimu ya malezi na makunzi kwa walezi 1,650 na kuwanufaisha kiuchumi walezi 2,208 katika halmashauri ya Jiji la Arusha na Halmashauri ya Arusha.

Taarifa hiyo imetolewa na afisa Afya Mkoa  Vones Uwisso kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia katika kikao cha makabidhiano ya mradi wa ACHIEVE kutoka shirika la Pact Tanzania kwenda kwa mradi wa Kizazi hodari chini ya shirika la ELCT.

Amelikata shirika hilo kuhakikisha mradi huo unafika katika halmashauri vyingine kama vile  Ngorongoro, Karatu, Monduli, Longido na Meru ili ziweze kunufaika pia na mradi huo na kuokoa maisha ya watoto wengi katika Mkoa wa Arusha.

Mradi wa ACHIEVE ulilenga  kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika jamii ya Mkoa wa Arusha na juhudi hizo zitaendelezwa na mradi huo wa Kizazi Hodari.

Mradi wa ACHIEVE ulinza Agosti 2021 na utamalizika Juni 2022 katika halmashauri mbili za Arusha Jiji na Arusha katika Mkoa wa Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa