• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI RS ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA PEPMIS

Posted on: November 30th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Watumishi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, wameanza kupatiwa Mafunzo ya Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi kwa watumishi wa Umma (PEPMIS), yanayofanyika kwenye ukumbi wa mikutano, Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha, na kutolewa chini ya Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Rasilimali Watu kwa kuhirikiana na  Ofisi ya Katibu Tawala mkoa.


Akifungua mafunzo hayo, Katibu Tawala Msaidizi Utumishi na Rasilimali watu, Davia Lyamongi, kwa niaba ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha, amewataka watumishi hao, kufanya bidii kipindi cha mafunzo ili kupata ujuzi na maarifa ya namna ya kutumia Mfumo huo wa PEPMIS.


Amesema kuwa mfumo huo, utawezesha upimaji wa kazi alizopangiwa mtumishi kwa siku, kulingana na majukumu aliyopangiwa na muda wa kufikia malengo pamoja na tathmini na upimaji.


"Kila mtumishi anapaswa kuuelewa vizuri mfumo huu, kwa kuwa unamgusa moja kwa moja utendaji wake wa kazi, kwa kuzingatia malengo binafsi na kufikia malengo ya jumla ya Mwajiri ambaye ni Serikali, niwasisitize nafasi hii ni muhimu kwa kila mtumishi, kuhakikisha unauelewa vizuri mfumo huu mpya wa PEPMIS" Amesema Lyamonge


Naye Msimamizi Mkuu wa mafunzo kutoka Ofisi ya  Rais Utumishi na Utawala Bora, Anna Kiwelu, amesema, mafunzo hayo ni muhimu kwa watumishi, yenye lengo la kumuwezesha mtumishi wa Umma, kujifanyia upimaji wa kazi anazozitekeleza kila siku kupitia mfumo wa PEPIMS.


Amebainisha kuwa, lengo la mafunzo hayo, ni kuwajengea uwezo watumishi na kuwa na uelewa wa pamoja wa namna ya kutumia mfumo wa PEPIMS, ambao ni mfumo mpya uliotolewa na serikali kwa ajili ya kupima utendaji kazi kwa watumishi wote wa Umma.


Mafunzo hayo ya siki mbili, yamejumuisha watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha, Ofisi za Wakuu wa Wilaya pamoja na Ofidi za Maafisa Tarafa.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa