• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI KATAMBI ATETA NA KAMATI YA MAANDALIZI KUELEKEA SHEREHE ZA MEI MOSI KITAIFA 2024 MKOANI ARUSHA..

Posted on: April 20th, 2024

Na Elinipa Lupembe

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana na wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi (Mb) amekutana na kufanya kikao na kamati ya maandalizi ya sherehe za Mei Mosi wakiongoza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Chtistian Makonda pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) Aprili 20, 2024.

Katika kikao hicho Mhe. Katambi amewaponheza wajume wa kamati hiuo ya maandalia kupitia Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha iongozwa na Mkuu wa mko na Katibu Tawala wa mkoa huo, kwa kazi nzuri na mipango mizuri iliyofanyika mpaka sasa, jambo ambalo linatia moyo kuwa Mei Mosi 2024 itakuwa ya tofauti.

"Nimefarijika sana kwa kazi nzuri na kubwa ya maandamizi iliyofanyika mpaka sasa, inaonesha ni jinsi gani wanakamati wanajituma licha ya majukumu mengi ya kikazi waliyo nayo, endeleeni na moyo huo mpaka Siki yenyewe ya Mei Mosi, tukampambe Mhe Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan" Amese

Amewata  wajumbe wa kamati ya maandalizi kuendelea kushirikianaa kwa karibu ili kukamilisha shughuli walizopangiwa  kwa wakati na hatimaya kufikia malengo ya Siku maalum ya Wafanyakazi Duniani ambao ndio wajenzi wa Taifa la Tanzania.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda amesema maandalizi yanaendelea vizuri na kila Kamati inafanya kazi kikamilifu na kuhakikisha kuwa sherehe hizo zinafana.

Aidha, Mhe. Makonda amewasihi wananchi wa mkoa wa Arusha na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho hayo, ambayo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Katika kikao hicho pia wameshiriki Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi wakioongozwa na rais wa  TUCTA, Tumaini Nyamhokya, Wakuu wa Wilaya za mkoa wa Arusha, Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Missaile Musa, Makamishna wa Kazi Wasaidizi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri zake.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa