• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MCHENGERWA AAGIZA KUKAMILIKA UJENZI WA BWALO LA CHAKULA SEKONDARI LONGIDO SAMIA GIRLS

Posted on: September 18th, 2024


Na Elinipa Lupembe 



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameagiza kukamilika kwa ujenzi wa bwalo la chakula shule ya sekondari ya Longido Samia Girls ifikapo Novemba 01, 2024, ujenzi ambao umefikia kwenye boma.



Mhe. Mchengerwa ametoa agizo hilo alipotembelea shuleni hapo kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa shule hiyo mpya ya mkoa wa Arusha, ambayo tayari wananfunzi wa kidato cha tano wameanza masomo shuleni hapo.



Amemtaka mkuu wa wilaya ya Longido Mhe. Salum Kali kusimamia kwa karibu na kuhakikisha mafundi wanafanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha ujenzi wa bwalo hilo la chakula na wananfunzi waanze kulitumia kama yalivyo makusudio ya serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hasan.

Wakandarasi wananojenga bwalo hili



Hata hivyo amewahimiza kukamilika kwa bwalo hilo, kuendana na matumizi ya nishati safi katika kupika chakula cha wananfunzi na kuachana na kuachana nishati chafu yenye madhara kwa bianadamu.



"Tunatakiwa kuzingatia matumizi ya nishati safi kwenye shule zote za sekondari ili kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais, katika kuhamasisha matumizi ya Nishati safi nchini" Amesisitiza Mhe. Mchengerwa.



Awali mradi wa ujenzi wa shule mpya ya wasichana Longido Samia Girls umetekelezwa na Serikali kwa kutoa fedha kwa awamu mbili awamu ya kwanza ikitoa milioni 300 na awamu ya pili milioni 1.45 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa bwalo la kulia chakula.

No photo description available.

May be an image of lumberyard

May be an image of 1 person

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa