• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MKUU AZINDUA MASHINE YA KUCHANGANYA VIRUTUBISHO ARUSHA

Posted on: October 25th, 2023

Na Elinipa Lupemne


Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) amezindua mashine ya kuchanganya virutubisho kwenye vyakula wakati akitembelea mabanda ya maonesho muda mchache kabla ya kufunga Mkutano Mkuu wa Tisa wa Wadau wa Lishe nchini uliofanyika katika Hoteli ya Mount Meru mkoani Arusha.


Akizungumza wakati wa akizindua mashine hiyo, Mhe. Majaliwa amesema kuwa serikali inaunga mkono juhudi zilizofanya na shirika hilo na kutumia fusra hiyo  kuwaomba wadau wa maendeleo kuunga mkono juhudi hizo ili mashine hizo ziweze kuuzalishwa kwa wingi na kutumika nchi nzima.


Mashine iliyozinduliwa inatumika kuongeza virutubisho muhimu katika vyakula hususan unga wa mahindi, virutubisho hivyo ni pamoja na vitamin B na folic acid vinasaidia kwenye ukuaji wa watoto na kuzuia kuzaliwa na changamoto za ulemavu ikiwemo mgongo wazi na vichwa vikubwa.


 “Ninawapongeza wadau walishiriki kufanikisha teknolojia hii muhimu kwa afya za watanzania, ninatambua mchango wa Shirika la GAIN, SIDO na DIT kwa kuwezesha kazi hii kukamilika, niwaombe tuendelee kusimamia vipaji vya watanzania ili kuwa na mashine zinazotengenezwa ndani ya nchi.” Amesema


Aidha Mhe. Majaliwa amewasisitiza watanzania kutumia  virutubisho vinavyozalishwa nchini, sambamaba na kuwahimiza wadau kuendelea kuzalisha kwa wingi malighafi za virutubisho hivyo ili kuondokana na utegemezi wa kuviagiza kutoka nje ya nchi na kuwahakikishia wadau kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuunga mkono juhudi hizo na kuzisimamia ili  kuhakikisha zinakuwa endelevu.


Awali Waziri Mkuu amesisitza Ofisi ya Rais - TAMISEMI kuhakikisha kuwa mikataba ya lishe,  inatekelezwa kikamilifu na kuwa na tija kwa kufuatilia kwa karibu na kutoa taarifa za utekelezaji mara kwa mara kwa kila ngazi kama mkataba unavyoainisha ili kufikia malengo ya serikali ya kuondokana na utapiamlo na udumavu unaotokana na lishe duni.


#ArushaFursaLukuki

#kaziinaendelea

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa