• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA KUFUNGUA MKUTANO WA 14 WA TOA MWAKA 2024

Posted on: June 10th, 2024


Elinipa Lupembe, Arusha 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, anatarajiwa kufungua Mkutano Mkuu wa 14  wa Taasisi ya Maboresho ya Serikali za Mitaaa Tanzania (TOA), unaotarajia kufanyika mkoani Arusha kuanzia tarehe 12 - 14 Juni, 2024.

Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa TOA Taifa na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi, Albert Msovella, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo Juni 10, 2024 na kuweka wazi kuwa, Mkutano huo utafanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), ukibeba dhima ya uboreshaji na utendaji kazi wa Mamlaka  za Serikali za Mitaa.


Amesema kuwa, mkutano huo utahusisha Makatibu Tawala wa mikoa yote 26, Wakurugenzi watendaji wa majiji, miji na halmashauri zote  184, huku wakiwalikwa na Maofisa Utumishi wa Sekritarieti za mikoa na halmashauri zote nchini pamoja na wakurugenzi wa Manispaa zote na wasimamizi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa upande wa Zanzibar, lengo likiwa ni kuwa na uelewa wa pamoja na kubadilishana uzoefu katika utoaji huduma kwa wananchi kupitia Maamlaka hizo.


"Mkutano huu una lengo la maboresho  ya Serikali za mitaa katika masuala ya ugatuaji wa madaraka kwenda kwa wananchi, ukiwemo ukusanyaji wa mapato na utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo maji, kilimo, afya, miundombinu, usimamizi wa rasilimali watu,  fedha na utawala bora". Amesema Msovela


Aidha, Msovella amebainisha kuwa, umoja huo ulianza mwaka 2002  kwa kushirikiana na Serikali  ya Japani, kupitia Shirika la Maendeleo la kimataifa la Japani (JICA) ambapo watumishi zaidi ya 6,000 wamenufaika kwa kupata mafunzo kupitia TOA.


Awali Mkutano huo, wenye kauli mbiu ya Boresha Msingi  wa Utoaji Huduma za Serikali za Mitaa, utabeba mada mbalimbali zinazotarajiwa kuwasilishwa na Maofisa wabobezi wastaafu na waliopo Serikalini.


Ofisi ya Rais - Tamisemi Ikulu Mawasiliano Samia Suluhu Kwanza Ofisi ya Waziri Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais

May be an image of 13 people, newsroom, dais and text

May be an image of 10 people, newsroom, dais and text

May be an image of 11 people, dais and text

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa