• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MKUU: “TUMIENI MATOKEO YA TAFITI ZA KISAYANSI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIPANGO YA KITAIFA"..

Posted on: November 4th, 2024

WAZIRI MKUU: “TUMIENI MATOKEO YA TAFITI ZA KISAYANSI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIPANGO YA KITAIFA"

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewataka Idara na Taasisi za utafiti na elimu ya juu kufanya tafiti za kisayansi ili kutafuta suluhisho za changamoto zenye mwingiliano wa afya ya binadamu, afya ya wanyama, na afya ya mazingirana kutumia matokeo ya tafiti hizo katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya Kitaifa.

Mhe. Majaliwa amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Afya Moja uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano (AICC) Arusha leo Novemba 4, 2024.

Amesema, Taasisi zote zinazohusika na masuala mtambuka katika afya ya jamii, wanyama na mazingira zitenge fedha na kuweka katika mipango ya Taasisi hizo afua za kuthibiti magonjwa ya kizoonotiki, usugu wa vimelea dhidi ya dawa, magonjwa yasiyoambukiza, mabadiliko ya tabia nchi na usalama wa chakula.

“Wizara za kisekta, na Mamlaka za Serikali za Mitaa, andaeni mipango kazi na taratibu za usimamizi kwa ajili ya utekezaji wa mbinu ya Afya Moja kwa kuzingatia miongozo iliyopo ambayo imeweka bayana majukumu ya wadau wote Pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa fanyeni vikao vya mara kwa mara, kufanya tathmini ya utekelezaji wa pamoja wa afua mbalimbali, kwa kufanya hivyo changamoto zitajulikana mapema na kupatiwa ufumbuzi” Amesema.

Aidha amesema kuwa, tafiti zinaonesha duniani kote takribani visa bilioni moja vya ugonjwa pamoja na mamilioni ya vifo hutokea kila mwaka kutokana na magonjwa yanayotoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu na zaidi ya asilimia 75 ya vimelea vipya 30 vya magonjwa vilivyogunduliwa katika miongo mitatu iliyopita, vimetoka kwa wanyama.

“kwa mujibu wa taarifa na takwimu zilizopo, Taifa la Tanzania kama mataifa mengine duniani limekuwa likikumbwa na magonjwa hayo, Kama mtakumbuka, mnamo mwaka 2017 wataalam wetu kutoka sekta mbalimbali waliainisha magonjwa ya zoonotiki yanayopewa kipaumbele hapa nchini ambayo ni kichaa cha mbwa; kimeta; malale; brusela; homa ya bonde la ufa; homa ya mafua; na magonjwa yanayosababishwa na virusi vya ebola na Marburg” Ameeleza Waziri Mkuu,

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa