• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI NDEJEMBI AAGIZA KUKAMILISHA USAJILI WA SHULE MOYA YA LUCAS MHINA WILAYA YA MONDULI

Posted on: October 17th, 2023

Na  Elinipa Lupembe

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi amemuagiza Afisa Elimu Mkoa wa Arusha kuharakisha mchakato wa usajili wa shule mpya tarajali ya Msingi Lucas Mhina iliyopo katika Kijiji cha Losirwa wilayani Monduli mkoani Arusha, ili shule ipate fursa ya kupokea wanafunzi wa kuanza masomo kwa mwaka wa masomo unaoanza Januari 2024.

Mhe Ndejembi ametoa agizo wakati wa hafla ya uzinduzi wa shule hiyo, ambayo tayari miundombinu yake imekamilika, ikiwa imesheheni vyumba kutosha vya madarasa, ofisi za walimu, vyoo pamoja na samani za madarasa

Aidha amemuagiza mkurugenzi Mtendaji  Halmashauri ya Monduli,
kuwapanga walimu wa kwenye shule hiyo kabla ya Januari 2024 ili kipindi chote cha uandikishaji wanafunzi walimu wawepo shuleni hapo.

“Nimpongeze sana, Lucas Mhina kwa uzalendo wake wa kutafuta wafadhili ambao wamejenga shule hii nzuri kwa ajili ya kusaidia watoto wa jamii ya wafugaji ili waweze kupata elimu karibu na maeneo wanayoishi na kiwasaidia kuondoa changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kwani sasa shule imeletwa karibu" Amesema Naibu Waziri

Ameomgeza kuwa Serikali inatambua na kuthamini kazi zinazofanywa na wadau wa maendeleo na inaunga mkono juhudi hizi hivyo nimuagize Afisa Elimu Mkoa kuhakikisha anaharakisha shule hii iweze kupata usajili ili iweze kuanza kupokea wanafunzi watakaojiunga Januari 2024


Aidha Mhe Naibu Waziri Ndejembi ametoa rai kwa wananchi wa kijiji cha Losirwa kuhakikisha wanalinda na kutunza miundombinu ya shule hiyo ili kuleta tija kwa wanafunzi watakaoanza masomo hapo.

Kwa upande wake, Mfadhili wa shule hiyo, Lucas Mhina amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna alivyoifungua Nchi kiuchumi na hivyo kuwawezesha wahisani mbalimbali kuja nchini kuwekeza na kusaidia miradi ya maendeleo huku akiahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuwaletea watanzania maendeleo.

Mhina ameikabidhi shule hiyo kwa Serikali ambapo tayari vyumba 20 vya madarasa , Ofisi ya Walimu, matundu 14 ya vyoo vya wanafunzi, matundu manne ya vyoo vya walimu, nyumba mbili za walimuj zimejengwa pamoja na kuwekwa madawati 100, matanki mawili ya maji pamoja na kisima cha maji.


#ArushaFursaLukuki

#KaziInaendelea






Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa