• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WEKENI NEMBO YA TANZANIA KATIKA BIDHAA ZENU

Posted on: July 26th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amesema ofisi yake itaanzisha dawati maalumu kwa ajili ya kusimamia maswala ya uwekezaji katika Mkoa wa Arusha.

Ameyasema hayo alipofanya kikao kazi cha kusiliza changamoto zilizopo katika sekta ya kilimo cha Mbogamboga, Matunda na Mauwa kutoka kwa wadau wa sekta hiyo.

Aidha, amewaomba wawekezaji waliopo katika Mkoa wa Arusha kuwa mabalozi wa kuisemea vizuri nchi ya Tanzania na hata Mkoa wa Arusha ili kuwavutia wawekezaji wengi kutoka nje.

Mongella amesisitiza kuwa katika uongozi wake ameweka vipaombele katika  sekta ya Elimu, Viwanda, uwekezaji na Kilimo ili kukuza uchumi wa Mkoa.

Pia amewashauri wafabiashara wa bidhaa mbalimbali kufunga bidhaa zao kwenye vifungashio vinavyovutia na vyenye nembo ya kuitambulisha nchi ya Tanzania.

Amesisitiza kuwa uwekaji wa nembo hiyo kutaitangaza nchi ya Tanzania ndani na nje na kukuza masoko ya kwa wafanyabiashara hao.

Nae, Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya TAHA Jacqueline Mkindi amesema, sekta hiyo bado inakabiliwa changamoto nyingi ikiwemo vikwazo vingi katika usafirishaji wa bidhaa hizo.

Gharama kubwa katika uzalishaji, pia kuna uhaba wa wasafirishaji wa bidhaa hizo na uchache wa masoko.

Aidha, ameiyomba Serikali kuunda kamati maalumu ya kusimamia sekta hiyo itakayojumuisha taasisi binafsi na Serikali na pia kusamehe madeni kwa baadhi ya mashamba yanayodaiwa ili kuwaruhusu wawekezaji wengine waweze kuwekeza katika Mashamba hayo.

RC Mongella amesema kikao hicho na sekta ya Mbogamboga, Matunda na Mauwa ni mwanzo tu, kwani atakutana na sekta zote za kipaombele ili kufahamu changamoto zao na kuweka mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa