• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WILAYA YA KARATU KUPATIWA MAGARI 2 YA KUBEBEA WAGONJWA

Posted on: May 16th, 2023

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imepanga kuikabidhi Magari mawili ya kubebea wagonjwa Wilaya ya Karatu.

Hayo yamesema na Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango wakati akiweka jiwe la msingi katika hospitali ya Wilaya ya Karatu.

"Serikali imeweka nguvu kubwa katika kuhakikisha miundombinu ya sekta ya afya inaimarika zaidi na kuwezesha utoaji wa huduma bora".

Aidha, Dkt.Mpango amesema ndani ya miezi miwili Serikali italeta watumishi wasiopungua 25 katika sekta afya ili kuzifanya hospitali hizo kuendelea kutoa huduma bora na kwa wakati.

Amewataka wananchi wa Karatu kuhakikisha wanaitunza hospitali hiyo iliyogharimu fedha nyingi na walinde vifaa vya hospitali hiyo.

Pia, Serikali inaendelea kuhakikisha hospitali za Wilaya zinatoa huduma bora ikiwemo upatikanaji wa Dawa na vifaa tiba na viongozi wa wilaya wavisimamie.

Amewataka wale wote watakaobainika wameiba vifaa wakamatwe na wafikishwe katika vyombo vya sheria kwani watakuwa wamehujumu uchumi wa nchi.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema nguvu kubwa imewekwa na Serikali katika sekta ya afya na kiasi cha Trilioni 1.3 zilitolewa na Serikali kwa ajili ya kuboresha sekta ya afya katika miundombinu na vifaa tiba.

Naye Naibu Katibu Mkuu Tamisemi,anayeshughulikia suala la Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe, Dkt.Charles Mahera alitoa rai kwa wananchi kulinda vifaa vya hospitali kwani baadhi za  hospitali za wilaya vifaa huibiwa.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Rajabu Karia alisema hospitali hiyo imeanza kutoa huduma baada ya kukamilika kwa majengo tisa ikiwemo jengo la wagonjwa wa nje na jengo la maabara lakini pia wanatarajia kutoa huduma za uzazi ili wananchi waanze kujifungua katika hospitali hiyo

Alisema ingawa hospitali hiyo imeanza kutoa huduma lakini bado kunachangamo zinazoendelea ya upungufu wa watumishi pamoja na samani na vifaa tiba kweye majengo yaliyokamilika na kuongeza kuwa hospitali hiyo imegharimu sh.bilioni 3.379.

Uzinduzi wa hospitali ya wilaya ni miongoni mwa shughuli zilizofanywa katika ziara ya kikazi ya Makamu wa Rais Dkt. Mpango katika Wilaya ya Karatu.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa