• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ZALISHENI MAZAO YENYE TIJA KUONGEZA CHAKULA NA KIPATO-MGUMBA

Posted on: August 5th, 2020

Wakulima, Wavuvi na Wafugaji wametakiwa kuzalisha mazao yenye tija yatakayo ongeza upatikanaji wa chakula kwa wananchi na kuongeza pato la mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Ameyasema hayo Naibu Waziri wa Kilimo  Omary Mgumba alipokuwa akifungua maonesho ya 27 ya  Kilimo na sherehe za nanenane  kanda ya Kaskazini katika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha.

“Sekta ya Kilimo ina umuhimu mkubwa sana katika kukuza uchumi wa nchi kwani ni sekta inayoajiri watanzania zaidi ya asilimia 75”,alisema Mgumba.

Amesema ni jukumu la kila mkulima,mvuvi na mfugaji  kuhakikisha  anazalisha kwa wingi mazao mbalimbali kwa kutumia elimu na teknolojia watakazozipata katika maonesho hayo.

Hata hivyo, serikali ya awamu ya tano bado imeweka nguvu kubwa katika sekta hizo kwa kurudisha serikalini mashamba ya Basutu yaliyopo Mkoani Arusha ili yagawiwe kwa wananchi kwa lengo la kuendeleza Kilimo.

Pia, serikali imejenga vihenge vya kuhifadhi chakula kinachonunuliwa na serikali, na kuruhusu ndege takribani 4 zitakazotumika katika kusafirisha mazao ya Maua, Matunda na Mbogamboga katika nchi za Ulaya na Uarabuni, hii yote itaongeza ukuwaji wa soko la uhakika katika sekta hiyo.

Amewataka wakulima, wavuvi na wafugaji kusambaza elimu hiyo watakayoipata katika maonesho hayo hadi kwa wakulima wa ngazi ya kata na vijiji katika kukuza sekta hiyo.

Akitoa neno la ukaribisho Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta amesema, maonesho hayo hayatakuwa na tija ikiwa kama hayataleta mabadiliko katika sekta hizo za Kilimo, Uvuvi na Ufugaji.

Hivyo, amesisitiza tathimini ifanyike mapema ili iweze kutoa mwelekeo mapema wa maonesho hayo kwa baadae na mabadiliko kwa ujumla.

Mwenyekiti wa kamati ndogo ya maandalizi Bwana Richard Kwitega amesema, jumla ya waoneshaji 350 wameshajiandikisha katika maonesho ya mwaka 2020 na wanatarajia idadi kuongezeka zaidi.

Maonesho ya sherehe za nanenane kwa kanda ya Kaskazini yanafanyika kwa mara ya 27 na Kitaifa yanafanyika katika viwanja vya Nyakabimbi Mkoani Simiyu na kilele chake kinatarajia kuwa Agosti 10,2020.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa