• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ZINGATIENI WELEDI KATIKA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI’ DKT. GRACE

Posted on: November 15th, 2024


Ofisi ya Rais - Tamisemi 



NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa, Dk. Grace Magembe ametoa amewataka Waandishi wa habari za mitandaoni kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao katika kuripoti uchaguzi wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 ,2024.



Dk.Magembe ametoa maelekezo hayo Novemba 13,2024 wakati akifungua semina ya Waandishi wa habari za mitandaoni iliyoandaliwa na TAMISEMI ikiwa lengo ni kuwaelimisha kuhusu kanuni za uchaguzi wa serikali za Mitaa,2024.



Amesema Waandishi wa habari wanapaswa kutoa taarifa sahihi kwa wananchi hivyo ni vyema kujengewa uwezo kwenye Kanuni ili waweze kuwa na uelewa  mpana wa kanuni na kuhabarisha wananchi ili wajue umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi pamoja na kupima sera na maono ya wagombea wa nafasi hizo katika kuwaletea maendeleo wananchi wa eneo husika.



“Naomba niwasisitize mambo kadhaa ikiwemo kuandika habari zinazosimamia misingi ya haki na usawa kwa wagombea wote ili kuleta utulivu na amani nchini” amesema Dk.Magembe.



Ameongeza kuwa,”Epukeni kuripoti habari za taharuki kwenye nchi,msisababishe uvunjifu wa amani,epukeni taarifa za kuwatenganisha Watanzania bali mripoti habari zenye kuleta mshikamano na upendo katika kipindi hiki cha uchaguzi” amesisitiza Naibu Katibu Mkuu huyo wa TAMISEMI



Pia amewataka Wasamizi wa Uchaguzi kutoa ushirikiano kwa waandishi wa habari na kuweka mazingira bora ya ufanyaji kazi kwa waandishi wa habari wakati wa Uchaguzi!


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa