• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NANENANE 2020 KANDA YA KASKAZINI KUNG'ARA

Posted on: July 2nd, 2020

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha bwana Richard Kwitega amewapongeza waoneshaji wote waliojitokeza mapema katika kuanza maandalizi ya sherehe za nanenane Kanda ya Kaskazini.

Ametoa pongezi hizo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika viwaja vya nanenane vilivyopo Themi Njiro Mkoani Arusha.

Amesema kwa niaba ya Makatibu Tawala wa Mikoa yote ya Kanda ya Kaskazini ambayo ni Arusha, Kilimanjaro na Manyara,wamefurahishwa na mwitikio mkubwa ulioneshwa na wafanyabiashara pamoja na wakulima katika kushiriki maandalizi ya sherehe hizo.

Kwitega amesema, mwaka huu maonesha hayo yatakuwa ya pekee sana kwani maandalizi yameanza mapema sana na hivyo kutoa fursa kwa wakulima na wafanyabiashara kujiandaa vya kutosha.

Maonesho hayo kwa mwaka huu 2020 yamebeba kauli mbiu isemayo “ Kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo, na Uvuvi chagua viongozi bora 2020”.

Aidha, ametoa wito kwa wafanyabiashara wote,wakulima na wananchi kwa ujumla wa Mkoa wa Arusha kuendelea kufanya maandalizi ya sherehe hizo mapema huku wakichukua taadhari juu ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Corona).

Pia, Kwitega amesema bado nafasi zipo kwa wafanyabiashara na wakulima wanaopenda kushiriki maonesha ya nanenane 2020 na wanakaribishwa.

Maonesho ya nanenae kanda ya Kaskazini yanatarajiwa kuanzi Agost 1 hadi 8, 2020 na yatakuwa chini ya usimamizi wa serikali kwa awamu ya nne hadi sasa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa