• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUNAENDELEA KUENZI MAZURI YA SOKOINE-MAJALIWA

Posted on: April 12th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, amesema serikali ya awamu ya tano inaendelea kuenzi   juhudi zilizofanywa na hayati  Edward Sokoine ya kupambana na uhujumu uchumi katika nchi.

Ameyasema hayo alipohudhuria ibada ya kumbukumbu ya kifo cha hayati Edward Moringe Sokoine nyumbani kwake wilayani Monduli.

Amesema hayati Edward Moringe Sokoine alikuwa  mkweli na mwadilifu katika utumishi wake na kwa jamii yake,hivyo sisi kama viongozi wa awamu hii ya tano hatuna budi kuendelea kuiga mfano wake.

“Jukumu letu nikuendelea kumuombea hayati Sokoine kwani matendo yake bado tunayaishi na yataendelea kutuongoza.

Serikali hii inaendelea kuthamini dira za viongozi waliotangulia kwa kuhakikisha mali za nchi zinawanufaisha watanzania wote.

Amesisitiza kuwa hayati Sokoine alijikita katika kuwajibika kwa watumishi wa umma na serikali ya awamu hii nayo imeweza kurudisha nidhamu na uwajibikaji kwa watumishi wa umma.

Pia hayati Edward Sokoine alianzisha falsafa ya ‘Kilimo ni uti wa Mgongo’ na sasa serikali inaendeleza falsafa hiyo kwa kujikita katika kilimo cha uzalishaji chenye tija.

Amesisitiza  kuwa hayati Sokoine  alikuwa msikivu kwa kusikiliza kero mbalimbali za watu na hakuwa na kinyongo wala tabia ya kujilimbikizia mali hivyo ni mfano wakuingwa na watanzania wote.

Askofu mstaafu wa jimbo kuu katoliki la Arusha mhashamu Josephati Luis Lweburu akiendesha ibada hiyo amesema hayati Edward Sokoine alikuwa mcha Mungu sana ndio kukamfanya awe mwaminifu na muwajibikaji katika utumishi wake.

Amesema alikuwa mtu wakubuni mbinu mbalimbali za kusaidia watu wake katika jamii yake na hii imesababisha kuendelea kukumbukwa na wengi kwa upendo wake huo.

Akitoa neno la shukrani Lembrisi Kivuyo kwa niaba ya familia ya hayati Edward Moringe Sokoine,amesema serikali imekuwa ikiwa karibu sana na familia hiyo tangu kuondokewa na mpendwa wao hivyo ameishukuru sana serikali kwa hilo.

Amesema familia yao itaendelea kuunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa juhudi zake zinazofanya katika kuleta maendeleo kwa nchi.

Hayati Edward Moringe Sokoine alifarikia Aprili 12, 1984 akiwa kama waziri mkuu wa Tanzania wa tatu akimfuatia hayati Rashidi Mfaume Kawawa na kila mwaka familia yake hufanya ibada hiyo ya kumbukumbu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa