• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: June 12th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Missaile Musa, ameagiza Halmashauri ya Wilaya ya Karatu kuimarisha usafi wa mazingira ili kuvutia watalii na kusimamia kwa ufanisi wakandarasi wa usafi na kuhakikisha ukusanyaji wa mapato unafanyika kwa staha bila kuleta malalamiko.



Akizungumza leo Juni 12, 2025 kwenye mkutano maalum wa baraza la madiwani wa mapitio ya hoja za ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2023/24, ambapo halmashauri hiyo imepata hati safi, Musa ameipongeza kwa kufuta hoja 30, kujadili hoja 20 na hoja 3 za zamani na kusisitiza hoja zilizobaki zifutwe ili kupunguza ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).



Pia amepongeza halmashauri kwa urejeshaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ambapo hadi sasa zimerudishwa Shilingi milioni 915.5 kati ya Shilingi bilioni 1.38 na kuagiza kuimarishwa kwa usimamizi na urejeshaji wa mikopo hiyo.



Aidha, Mkaguzi wa Nje wa Mkoa wa Arusha, Valence Rutakyamirwa, ameshauri halmashauri kuweka mikakati ya kupitia hoja za nyuma, huku akisisitiza ukaguzi ujao uoneshe taarifa sahihi za matumizi ya fedha na utekelezaji wa miradi.



Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Karatu, Juma Hokororo, ameomba ushirikiano zaidi kutoka kwa watumishi katika ukusanyaji wa mapato na uboreshaji wa usafi wa mazingira.

May be an image of 12 people, people studying and text

May be an image of 10 people, people studying, dais and text

May be an image of 3 people, people studying, dais and text

May be an image of ‎3 people, dais and ‎text that says '‎zi iendelee! LII KILIM UGAJI MADINI سام a‎'‎‎

May be an image of 3 people, people studying and text

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa