• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TEHAMA

MAJUKUMU YA KITENGO CHA TEHAMA

Kuratibu uundwaji wa Mpango Mkakati wa TEHAMA, sera, miongozo na waraka unaoendana sanjari na sera ya TEHAMA ya taifa.

Kuratibu utekelezaji wa mifumo ya menejimenti ya taarifa kwa Wizara, Idara, Wakala na wadau wa mkoa.

Kutengeneza na Kuhuisha Tovuti ya Mkoa na Halmashauri zinafanya kazi kwa ufanisi.

Kusimamia, kufuatilia na kutoa  msaada wa kiufundi katika Mifumo yote iliyosimikwa katika sekretarieti ya mkoa na mamlaka ya serikali za mitaa.


MIFUMO ILIYOPO MKOA WA ARUSHA

Mfumo Funganishi wa Usimamizi  na Udhibiti wa Matumizi ya Fedha

(IFMIS-Epicor 9.05).

Mfumo wa Ukusanyaji Mapato (kodi na tozo) – LGRCIS

Mfumo wa malipo kwa kutumia mashine za Kieletroniki - MAXCOM

Mfumo wa kutunza kumbukumbu za mali za Halmashauri - ( System for Operation,Maintainance and management of Assets(SOMMA))

Mfumo wa Malipo “Tanzania Interbank Settlement System” - TISS

Mfumo wa Kutunza Kumbukumbu wa Watumishi  (HCMIS – LAWSON)

Mfumo wa takwimu za Elimu msingi – BEMIS na PREM

Mfumo wa kumbukumbu na takwimu za Kazi TASAF – PWP

Mfumo wa Uendeshaji na Usimamizi  wa Vituo vya Kutolea huduma za Afya – GoT HoMIS

Mfumo wa kuandaa mipango na Bajeti na kutoa ripoti – (SBAS and PlanRep)

Mfumo wa kukusanya na kuhifadhi takwimu – LGMD

Mfumo wa kusimamia Afua za UKIMWI – TOMSHA-TACAIDS.

Mfumo wa Kodi Ardhi – LRMIS

Mfumo wa kijiographia – GIS

Mfumo wa kusimamia mahudhurio – (Biometric Time and Attendance Monitoring System).

Mfumo wa barua pepe za serikali - GMS

Tovuti ya Mkoa na Halmashauri – GWF

Kusimamia, kufuatilia na kutoa msaada wa kiufundi katika miundombinu ya mawasiliano iliyopo katika sekretarieti ya mkoa na Mamlaka ya Serikali za Mataa, miundombinu hiyo ni pamoja na

Miundombinu ya OR – TAMISEMI, IFMIS – EPICOR – VSAT/RADIO/FIBER

Miundombinu ya mawasiliano ya mtandao wa internet 

Miundombinu ya mawasiliano ya simu/nukushi – TTCL.


HALI YA MIFUMO YA KISERIKALI

Kitengo cha TEHAMA kimekuwa kikisimamia mifumo mbalimbali ya kiserikali ikiwepo Mfumo wa Kukusanya Mapato(LGRCIS),Mfumo huu umeunganishwa katika mfumo wa fedha(EPICOR) na unatumika katika kukusanya mapato yote ya vyanzo vya ndani.

Wataalamu wa Mkoa(Afisa TEHAMA na Afisa Msimamizi wa Fedha) wamesimika Mfumo huu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa maana ya Halmashauri za Mkoa wa Arusha. Kwa maeneo yaliyo nje ya makao makuu ya Wilaya/halmashauri vifaa maalumu aina ya ‘POS’ hutumika. Jedwali lifuatalo inaonyesha mchanganuo na tathimini ya Vifaa hivi kwa kila Halmashauri.

 

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa