• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Karibu Arusha

Karibu katika Tovuti ya Mkoa wa Arusha,ambayo inatoa taarifa mbalimbali za Mkoa huu.

Mkoa wa Arusha ni miongoni mwa Mikoa ya Tanzania na unapatikana upande wa Kaskazini ikipakana na mikoa ya Kilimanjaro na Manyara.Wazawa halisi wa mkoa huu ni wamasai wanaopatikana wilaya ya Monduli,Longido na Ngorongoro ,Wairaki wanapatikana wilaya ya Karatu na Wameru na Arusha.Makabira mengine ni Wasonjo, Wachaga,Wapare,Warangi na Wahadizabe (Tindiga) wanapatikana wilaya ya Karatu hili ni kabila linalotegemea chakula chake kwenye mizizi,matunda,asali na uwindaji,lakini wasonjo wao wamehama kutokana kutegemea chakula cha uwindaji na mizizi mpaka ulimaji wa mazao mbalimbali kama vile mahindi,maharagwe,mihogo na viazi.

Uwepo wa tovuti hii tunatumaini utapata taarifa za kuaminika unazozihitaji kwa ukamilifu kuhusu wigo, upeo wa taasisi, dira, dhamira, malengo, mikakati, shughuli kuu na utekelezaji wa shughuli za Serikali. Katika kufikia dira na matarajio yetu hasa kutangaza shughuli za Serikali lakini pia na huduma zetu kwa umma.

Kupitia tovuti hii tunaamini kwamba itakuwa rahisi kwa wananchi kupata taarifa mbalimbali. Tunatumaini kuwa kila atakayetembelea tovuti hii atapata jambo la kumfurahisha, kumfundisha au kumuelimisha.

Tovuti hii inamilikiwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Karibu

Tangazo

  • MACHAGUZI YA WANAFUNZI KIDATO CHA TANO May 17, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NENDENI UKAZALISHE KUTUMIA FEDHA ZA TASAF

    May 19, 2022
  • ONGEZENI KASI YA UTOAJI HUDUMA BORA

    May 17, 2022
  • NENDENI MKACHANGIE FEDHA ZA LISHE

    May 16, 2022
  • WALIMU JIJI LA ARUSHA WAPONGEZWA

    May 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa