• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DC MKALIPA AWAPONGEZA CTSI KWA MSAADA WA VIFAA VYA SH. MILIONI 24.9 SHULE YA SEKONDARI KING'ORI.

Posted on: September 12th, 2024


Na Mwandishi wetu - Meru DC



Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mohamed Mkalipa ametoa pongezi na shukrani kwa Shirika lisilo la kiserikali la "Cross Talent Share International"(CTSI) kwa msaada wa vifaa vyenye thamani ya shilingi Milioni 24.9 katika shule ya Sekondari ya King'ori iliyopata majanga ya kuunguliwa na Bweni la Wasichana. 



Mhe. Mkalipa ametoa shukrani hizo mara baada ya kupokea vifaa hivyo Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru na kuvipeleka moja kwa moja katika shule ya Sekondari Kin'gori iliyopo Kata ya Malula. 



"Kwa niaba ya Serikali tunawapongeza wenzetu wa CTS International kwani taasisi hii imekuwa ikisaidiana na Serikali kuhakikisha inatoa msaada kwa watoto wetu waliopatwa na majanga ya moto"  amesema Mkalipa. 



Aidha, Mkuu wa Wilaya Mkalipa ameeleza kuwa Serikali inajenga majengo kwa gharama kubwa hivyo amewataka viongozi wa Kata, Mkuu wa Shule na Jamii kutoa wito kwa wanafunzi, wazazi na jamii nzima kuilinda miundombinu hiyo kwani ni ya gharama kubwa. 



Mwakilishi wa shirika la CTSI Bw. Justin Mwaisemba ameeleza kuwa CTSI ilitoa msaada wa vitu vyenye thamani ya sh.Mil 5.5  baada ya kupata majanga ya kuunguliwa na Bweni la wasichana na kuahidi kutoa vifaa vya ukarabati wa jengo  lililoungua hivyo wamekuja kutimiza ahadi. 



"Leo tumekuja kutekeleza ahadi tuliyoitoa Julai Mosi 2024 ya kuleta vifaa vya ukarabati  vyenye thamani ya Shilingi Milioni 24.9. Tumeleta Mbao, Mabati, Madirisha, Mifuko Ya simenti, ndoo za rangi, Gypsum board na vifaa vingine vyote." amesema  Mwaisemba . 



Mkuu wa shule ya Sekondari Kin'gori Mwl. Justiwin N. Mutungi  ametoa shukrani za dhati kwa niaba ya wanafunzi wa shule hiyo kwa taasisi ya CTSI na Serikali kwa msaada waliopata kwani msaada huo utaleta tija na kuwafanya wanafunzi hao kuendelea vyema katika katika masomo yao. 



Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya ametoa shukrani kwa Shirika la CTSI kwani kwa msaada waliotoa imesaidia kuipungizia Serikali jukumu kwani Halmashauri pekee isingeweza kukarabati jengo hilo kwa haraka . 



Bweni lililoungua na Mōto nililikuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 68.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa