• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DKT. BITEKO MGENI RASMI MAONESHO YA KARIBU KILI - FAIR 2025

Posted on: June 2nd, 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye msimu mwingine wa maonesho ya karibu Kili- fair mwaka 2025 yanayolenga kuonyesha mnyororo wa thamani katika sekta ya utalii na kuongeza tija kwa watanzania wote.



Akizungumza na waandishi wa habari leo 02 Juni, 2025 wakati akitembelea na kukagua maandalizi ya maonesho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amesema kuwa, Maonesho ya Karibu Kili Fair 2025 yatazinduliwa rasmi Juni 06, na kuhitimishwa Juni 08 mwaka huu katika viwanja vya magereza - Kisongo. 



Mhe. Makonda amesema kuwa, zaidi ya makampuni 500 na nchi zaidi ya 40 watakuwa katika viwanja hivyo kubadilishana uzoefu pamoja na kuchochea na kusisimua kwa kiasi kikubwa Utalii  huku akiwataka wananchi na Wadau wa Utalii kuchangamkia fursa ya uwepo wa maonesho hayo.



"Karibu Kili - Fair ni fursa kubwa kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha, watanzania na wana Afrika Mashariki, ikilenga zaidi kwenye uchumi, ni jukwaa linalokukutanisha wewe mtoa huduma na mteja wako ili kuhakikisha kuwa mnyororo wa thamani ambao umechagizwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan unaleta tija katika maisha yako". Amesisitiza Mhe. Makonda



Hata hivyo, ametumia fursa hiyo, kuwakaribisha watanzania wote kukaribia Mkoani humo kwasabu kuna fursa nyingi za kutengeneza pesa na kubadilishana uzoefu na wafanyabiashara kutoka mataifa mengine huku akisisitiza watoa huduma wote kwa wageni watakaofika kwenye maonesho hayo kutoa huduma kwa ukarimu ili wageni hao wakaribie tena.



Naye Mkurugenzi wa Kampuni ya Kili Fair, Dominic Shoo, amesema kuwa  maonesho ya mwaka huu yatafanyika kwa viwango vya juu sana na ni tofauti na maonesho yaliyopita kutokana na maboreaho makubwa yaliyofanywa.



Maandalizi ya maonesho hayo yamefikia asilimia 70 na eneo limeongezwa zaidi kutokana na mahitaji ya soko.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa