• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Molvaro yakabizi mifuko 300 ya siment

Posted on: February 1st, 2019

Mkoa wa  Arusha utatumia matokea ya mtihani wa Moko kwa kidato cha nne kama ishara ya  kufahamu kiwango cha ufaulu kwa mtihani wa Kitaifa na hii itasaidia kufanya maandalizi mapema.

Ameyasema hayo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alipokuwa akipokea mifuko 300 ya siment kutoka kwa Molvaro Logdes and Tented camps itakayosaidi katika ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza kwa halmashauri ya Longido,Monduli na Arumeru.

Amesema kipaombele cha kwanza kwa Mkoa wa Arusha ni Elimu na ndipo vinafuata vingine kama vile Afya, Miundombinu na Madini, kwa kuliona hilo Mkoa ukaamua kuongeza nguvu zaidi katika ujenzi wa madarasa ili hadi kufikia mwisho wa mwezi Februari,2019 wanafunzi wote waliofaulu wawe wameshaanza masomo yao.

Gambo amesema katika mifuko hiyo 300 ya siment kila Wilaya itapata mifuko 100 kwa wilaya hizo tatu na simenti hiyo ikatumike kama ilivyopangwa kwa ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza.

Akikabidhi mifuko hiyo Mtendaji Mkuu wa Molvaro Lodges Mwalimu Musa amesema,sababu kubwa iliyoisukuma kampuni kutoa mifuko hiyo ni uhitaji  mkubwa wa madarasa kwani wanafunzi wengi wamefaulu kuingia kidato cha kwanza.

Amewasii hata makampuni mengine nao kuchangia zoezi hili la ujenzi wa madarasa kwani jamii wanazoishi zinawasaida kwa kiasi kikubwa katika huduma zao kwani wote wanaishi kwa kutegemeana.

Akitoa shukrani za dhani kwa Mkuu wa Mkoa na kampuni ya Molvaro mkuu wa wilaya ya Longido Frank Mwaisombe,amesema mifuko hiyo 100 ya simenti itasaidia sana katika ujenzi wa madarasa kwani wilaya yake ilikuwa na iwitaji wa madarasa 16 na mpaka sasa wameshajenga 9, hivyo simenti hiyo itasaida zaidi kumalizia madarasa yaliyobaki.

Nae Katibu Tawala wa Wilaya ya Arumeru Mwalimu James Mtembe kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Jerry Muro ameshukuru kwa wilaya yake kukumbukwa katika mgao huo wa mifuko 100 ambapo 50 itaenda halmashauri ya Arusha na 50 halmshauri ya Meru ili ikakamilishe ujenzi wa madarasa kwenye maeneo mbalimbali yaliyobaki.

Mkoa wa Arusha ulikuwa na uwitaji wa madarasa zaidi ya 100 kwa ufaulu wa wanafunzi zaidi ya 20,000 na waliokuwa wamekosa nafasi ya shuleni zaidi ya elfu 17 kwa mkoa mzima hivyo ikapelekea juhudu za lazima kufanyika ili kujenga madarasa hayo na mpaka sasa ujenzi unaendelea maeneo mbalimbali.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa