• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NENDENI UKAZALISHE KUTUMIA FEDHA ZA TASAF

Posted on: May 19th, 2022

NENDENI MKAWEKEZE KATIKA FEDHA ZA TASAF ILI ZIWAINUE KIUCHUMI.


Wanufaika wa fedha za TASAF wametakiwa kutumia fedha hizo katika kuzalisha  ili wakuze uchumi wa kaya zao.

Hayo yamesemwa na  Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF)Mkoa wa Arusha bwana Richard Nkini alipokuwa akikagua zoezi la ugawaji wa fedha kwa wahitaji wa Jiji la Arusha na  Halmashauri ya Arusha.

" Lengo la TASAF ni kuinua uchumi wa kaya husika hivyo nawasii walengwa wote hakikisheni mnapopata fedha hizi mkawekeze kwenye miradi mbalimbali kama vile ufugaji".

Bwana Nkini amesema TASAF inatoa fursa kubwa kwa wananchi kuweza kuendesha maisha kwa kulipa ada, kununua chakula,kujenga nyumba za kuishi na kufuga.

Aidha, amewataka waratibu wa TASAF ngazi ya halmshauri kuendelea kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya fedha hizo kwa wananchi ili mpango huu uweze kuwanufaisha zaidi walengwa kiuchumi.

Nae,Uchumi wa Mkoa bwana Jonath Mwita amesisitiza umuhimu wa matumizi sahihi ya fedha za TASAF ili wanufaika waweze kujikwamua kiuchumi na kutoka katika hali ya umaskini.

Mtendaji wa kata ya Olmotonyi kutoka halmashauri ya Arusha bwana Epimack Nyampanda amesema bado kuna waitaji wengi wa fedha hizo katika kata yake.

Zoezi la ukaguzi wa miradi na utoaji wa fedha za TASAF ngazi ya Mkoa awamu ya tatu katika kipindi cha 2 linaendelea katika halmashauri zote na Mkoa umepata fedha zaidi ya bilioni 2 kwaajili ya walengwa 58,309 wanaotoka katika vijiji 587.





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa