• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AUNDA TUME KUFUATILIA SAKATA LA MACHINJIO NGORBOB ARUMERU..

Posted on: September 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ameunda Tume Maalum ya kufuatilia Malalamiko ya wananchi pamoja na zuio la kujengwa kwa machinjio ya Ngorbob, yaliyopo kwenye Kata ya Matevesi, halmashauri ya Arusha Wilayani Arumeru.


CPA Makalla ametoa maelekezo hayo leo Jumanne Septemba 09, 2025 wakati wa Kikao kazi na Viongozi wa serikali za Mitaa na Vijiji pamoja na watendaji wa Kata na Vijiji vya Wilaya ya Arumeru, akishangazwa na malalamiko hayo ambayo yamekuja baada ya mradi kukamilika.


"Hili jambo lazima tulimalize, nitaunda Tume ya kufuatilia mchakato ulivyoanza na mpaka ulivyokamilika na kwanini mradi huu uwe haufai sasa, ulianzaje, makubaliano yenu yalikuwaje. Ile tume isihusishe watu wa Arumeru, watoke watu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na isimuhusishe Afisa Biashara wa Mkoa ili kuepusha muingiliano wa maslahi. Tume hii itafanya kazi ndani ya wiki mbili, tujue pia wananchi walihusishwa ama hawakuhusishwa, sheria za mazingira zilizitangatiwa? na kwanini muwekezaji awali aliruhusiwa kuanza ujenzi wa mradi." Amesema Mhe. Makalla.


Kulingana na maelezo ya CPA Makalla, Muwekezaji wa Machinjio hayo alipewa eneo hilo na Halmashauri ya Arusha Dc na kutumia zaidi ya Milioni 800 kwaajili ya ujenzi wa mradi huo baada ya wataalamu wa mazingira kueleza kuwa hakuna athari za mazingira katika utekelezaji wa mradi huo, akiagiza uchunguzi ufanyike kujua uhalali wa machinjio hayo na makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa hapo awali.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AUNDA TUME KUFUATILIA SAKATA LA MACHINJIO NGORBOB ARUMERU..

    September 09, 2025
  • WAMAREKANI WATALII KWA WINGI TANZANIA- KAIMU BALOZI MAREKANI TANZANIA..

    September 11, 2025
  • RAIS SAMIA KUZIUNGANISHA MONDULI NA NGORONGORO KWA BARABARA YA LAMI..

    September 10, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025..

    September 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa