• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AAGIZA KUFUATILIWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJARIPOTI SHULENI MPAKA SASA

Posted on: January 29th, 2024


Na Elinipa Lupembe.


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella amewaagiza Maafisa Elimu kata na Maafisa Watendaji wa kata, Mitaa na Vijiji  kushirikiana na viongozi wa vijiji na mitaa katika maeneo yao, kuwatambua wanafunzi ambao hawajaripoti shuleni mpaka sasa.


Mhe. Mongella ameyasema hayo, alipotembelea na kukagua shughuli za maendeleo shule ya Sekodnari Madira kata ya Seela Sing'isi halmashauri ya Meru, wilaya ya Arumeru, leo tarehe 29 Januari, 2024 na kupewa taarifa ya kuwa, bado kuna wanafunzi hawajaripoti shuleni ilihali wengine tayari wamekwisha kuanza masomo kuanzia tarehe 08 Januari, 2024.


Mhe. Mongella amewaagiza viongozi hao, kufanya ufuatiliaji wa karibu kwa walioadikishwa kuanza darasa la awali na la kwanza pamoja na wale waliopangiwa kidato cha kwanza na hawajaripo shule, 

ili kufahamu wanafunzi hao wako wapi.


"Wanafunzi wote wapo chini ya Mamalaka ya maeneo yenu, mkishirkiana na wenyeviti wa mitaa na vijiji watajulikana walipo, kwa wale wa kidato cha kwanza tumieni namba na majina yao pamoja na shule walizotokea kufahamu idadi ya waliohama, waliokwenda shule za binafsi na taarifa hiyo iwasilihswe ili kufanyia kazi wanafunzi ambao hawapo kokote" Amesisitiza Mhe. Mongella


Aidha, ameendelea kuwakumbusha wazazi kuona umuhimu wa kuwapeleka watoto shule kwa kuwa hiyo ni haki ya mtoto kisheria na sio hiati, hivyo kwa mzazi ambaye atajulikana hajampeleka mtoto wake shule, hatua za kisheria zitachukuliwa juu yake na kusisistiza kuwa kila mtoto ana haki ya kwenda shule ikiwa ni Sheria na Sera ya serikali  


Hata hivyo amewataka wakuu wa shule zote mpya zilizojengwa kusimamia upandaji wa miti, kuzunguka maeneo ya shule hizo, na kumkabidhi kila mwanafunzi mti wake wa kuutunza mpaka atakapohitimu masomo yake, lengo likiwa ni kuhifadhi na kutunza uasili wa mazingira hayo, ambayo yamehariniwa kwa kuwekwa majengo.


"Suala la utunzaji wa mazingira na upandaji wa miti n8 jukumu la kila mwananfunzi, ikiwa ni sehemu pia ya masomo yake, walimu mkisismamia vema, tutaondokana na ukame lakini zaidi tutarithisha watoto hawa, tabia ya kupenda miti na kutunza mazingira yao kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo, hili liko ndani ya uwezo wenu walimu"Amebainisha Rc



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa