• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AZINDUA MIONGOZO YA UBORESHAJI ELIMU

Posted on: September 13th, 2022

"Sitaki kusikia kuna Migogoro na walimu, unyanyasaji au kuchelewesha malipo ya walimu katika Mkoa huu."

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella alipokuwa akizindua  miongozo ya uboreshaji wa elimu kwa Mkoa wa Arusha.

Sekta ya elimu ndio sekta mama katika sekta zote kwani ndiko kunazalishwa wataalamu mbalimbali.

"Itakuwa aibu sana ikiwa kama tunamiongozo hii alafu bado sekta ya elimu ikasua sua".

Amewataka maafisa elimu Mkoa na Halmashauri kufuata muongozo huo katika uteuzi wa wakuu wa shule ili kuondoa hali ya upendeleo na kuteuwa watu wasio na sifa ambao watazidi kuhariu sekta hiyo.

Amewasisitiza zaidi walimu kusimamia maadili ya wanafunzi huku wakishirikiana na wazazi ili kuondoka vitendo vya unyanyasaji kwa watoto.

Kupitia miongozo hiyo itaongeza molali ya kazi kwa walimu ambao wengi walionekana kukata tamaa ya kazi kutokana na changamoto mbalimbali walizokuwa wakipitia.

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha bwana Missaile Musa amesema miongozo hiyo imegawanyika katika makundi 3, muongozo wa uteuzi wa viongozi kwa mamlaka za serikali za mitaa.

Vile vile kuna Muongozo wa kutatua changamoto katika sekta ya elimu na muongozo wa mkakati wa kuimarisha ufundishaji ngazi ya msingi.

Amesema kupitia miongozo hiyo mitatu sekta ya elimu itaimarika zaidi na kuwezo kuongeza kiwango cha ufaulu.

Nae Katibu Tawala Msaidizi Elimu bwana Abel Ntupwa amesema miongozo hiyo ilizinduliwa rasmi kitaifa na Waziri Mkuu Mkoani Tabora na kuitaka Mikoa yote izundue.

Hafla ya uzinduzi wa miongozo ya uboreshaji wa elimu Mkoani Arusha kilijumuisha Maafisa elimu kata hadi Mkoa, wakuu wa shule baadhi ya wanafunzi wa Msingi na Sekondari na wadau wa elimu.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa