• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA MADHEHEBU YA KIKRISTO WAMETAKIWA KUHAMASISHA MAENDELEO

Posted on: July 15th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amewashauri viongozi wa madhehebu ya Kikristo kuwahimiza waumini wao kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua Kongamano la viongozi wa Dini kwa madhehebu ya Kikristo, Jijini Arusha.

Bila maendeleo waumini hawawezi kutulia na kumuomba muumba wao kwani watakuwa na msongo wa mawazo mengi.

Amesisitiza zaidi kuwa waumini wakifanya kazi kwa bidii na kujiletea maendeleo watakuwa wameleta maendeleo katika Mkoa mzima na nchi kwa ujumla.


Anaamini maendeleo yanaletwa na mtu mmoja mmoja na sio kundi la watu na kufananisha na Imani ya wokovu kuwa ipo kwa mtu mmoja mmoja nasio kundi la watu.

Amesema waumini wakiwa na uchungu wa kutafuta maendeleo yao itawasaidia kuwa na utulivu na kuweza kufuata Sheria na taratibu za Kanisa na hata nchi pia.

Aidha, amewashauri viongozi hao wa madhehebu ya Kikristo wawe na uwezo wa kujua mambo kwa haraka, hii itawasaidia kwendana na wakati na mafundisho yao kuwafikia watu wengi.

Akitoa neno la shukrani mwenyekiti wa umoja wa madhehebu ya Kikristo Kanda ya Kaskazini Askofu Dkt. Stanley Hotay, amesema viongozi hao wapo tayari kushirikiana na Serikali katika nyanja mbalimbali ili kuleta maendeleo kwa wananchi.

Kongamano hilo la viongozi wa madhehebu ya Kikristo nchini limeandaliwa kwa ushirikiano na Joyce Meyer Ministry ya nchini Marekani.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa