• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAFANYABIASHARA ARUSHA WAIOMBA SERIKALI KUTUPIA MACHO BAADHI YA SHERIA ZA KODI

Posted on: January 27th, 2025


Baadhi ya wafanyabiashara wameiomba serikali kuangalia zaidi utitiri wa sheria za kodi  zinazowakandamiza ikiwemo ushuru wa huduma (Service Levy) unaotozwa kwenye halmashauri mbalimbali nchini ili kuondoa usumbufu kwa wafanyabiashara wanaolipa kodi serikalini



Wakitoa maoni yao mbele ha Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi inayoongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Balozi Ombeni Sefue wafanyabiashara hao Pamoja na wadau  mbalimbali  wamesisitiza uthamini wa biashara za watanzania hata kama ni mdogo



Wafanyabiashara hao akiwemo Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa Kodi Tanzania Kanda ya Kaskazini, Nicholas Duhia na wengine akiwemo Adolf Locken ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji wa Abiria Moose wa Arusha (AKIBOA ) wamesema wao kama chama waliwasilisha maoni yao kwa tume hiyo  lakini kubwa zaidi ni kuhusu sheria za Kodi inayotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) lakini pia kodi ya huduma ishuke kutoka asilimia 3 hadi kufika 0.1 kulingana na huduma walizotoa.



"Kila halmshauri ina malipo yake katika ulipaji wa ushuru wa huduma hii ni kero lakini wamiliki wa hoteli wameongezewa kodi ya huduma ya takataka wakati magari ya kuzoa taka ni machache hivyo kodi hizi ziwekwe katika dirisha moja ili walipaji walipe kodi kwa kiwango kidogo na si kodi kubwa zaidi huku mhusika wa biashara husika hanufaiki na biashara yake"



Naye Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi,Balozi Ombeni Sefue amewasihi  wafanyabiashara hao kutoa mawazo yao ili kumsaidia Rais Dkt. Samia Hassan Suluhu kuja na mpango mzuri wa ukusanyaji wa kodi nchini  na kuleta nafuu kwa wafanyabiashara hao



"Hakuna mtu yoyote atakayesumbuliwa wakati wa utoaji maoni juu ya ukusanyaji wa mapato hayo lakini Tanzania bado tupo nyuma katika ukusanyaji wa mapato tupo kwenye asilimia 12 lakini sasa tunahitaji kukusanyaji zaidi ya asilimia 15-16 ya mapato kwa nchi za Afrika ikiwemo Tanzania "



Hata hivyo, Balozi Sefue aamemwagiza Katibu Tawala Msaidizi anayeshughulikia Viwanda, Biashara na Uwekezaji Sektretarieti ya Mkoa Arusha, Frank Mmbando kuhakikisha hakuna mtu yoyote atakayesumbuliwa katika utoaji wa maoni hayo kwani tume hiyo imeundwa na Rais Samia Hassan Suluhu kwaajili ya utatuzi wa kero za kodi.

May be an image of 2 people

May be an image of 5 people

May be an image of 2 people and text

May be an image of 8 people, dais and text

May be an image of one or more people and dais

May be an image of violin and crowd

May be an image of 2 people and dais

May be an image of 3 people and crowd

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa