• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Madini

Mkoa wa Arusha umebarikiwa kuwa na madini ya aina mbalimbali kulingana na hali ya kijiolojia. Kati aina ya miamba hiyo saba (7) aina nne za miamba zinapatikana katika mkoa wa Arusha.

Kuna ukanda wa Mozambique belt ambao ni maarufu kwa madini ya vito kama vile Ruby, anyolite, corundum, Rhodolite, Green Garnets, Red garnets, sperssartite,Tourmaline, Emeralds, sunstones, moonstones, Aventurine Quartz, aquamarine na Kinywe na miamba chokaa n.k.

Kuna ukanda wenye miamba ya volcano na bonde la ufa ambako kuna ya Niobium (Rare Earth Elements) Apatite, zeolites, Florite, Bentonite, gesi ya Helium pozzolana (Madini ya Viwandani) na madini ujenzi.

Mkoa wetu wa Arusha wenye ukubwa wa Kilometa za mraba 37,576 una jumla ya

  • leseni 796 za uchimbaji mdogo yaani Primary Mining Licences,
  • leseni 4 za uchimbaji wa kati, Mundara Ruby mine 2, Ravji Aggregate 1 na Arucon 1 yaani Mining Licences.
  • leseni 42 za utafiti yaani PLs
  • Leseni 1 ya uchenjuaji.
  • Maombi ya Brokers Licence 186
  • Maombi ya Dealers Licence 99 kati ya maombi hayo 80 ameshapatiwa leseni.

Pamoja na utalii, Vilelvile umekuwa ni kitovu cha biashara ya madini hasa ya vito. Madini hayo yanatoka ndani ya Mkoa au nje ya Mkoa  kama vile, Manyara, Tanga, Morogoro, Lindi na Ruvuma. Pia hata nchi za nje kama Ethiopia, Mozambigue, Zambia na Congo.

Umaarufu huu wa mkoa wa Arusha umejengeka kwa Zaidi ya miaka 30 iliyopita. Kwa kipindi cha mwaka wa Serikali 2018/19, Ofisi ya Madini Arusha ilikuwa na:

  • Wafanyabiashara wakubwa wa madini 97 yaani Dealers.
  • Wafanyabiashara wadogo wa madini 291 yaani Brokers.  ARUGEBA 783, TASGEDO 500.

Takwimu za biashara ya madini kwa Mkoa wa Arusha kwa mwaka 2018/19 (Yaani tangu July 2018 mpaka 30 June 2019) zinaonesha kuwa madini yenye thamani ya 21,074,505,883.43 TZS yaliuzwa na mrabaha uliopatikana ni 764,385,283.88 TZS na Ada ya ukaguzi 208,653,073.56 TZS.

Takwimu hizi zinaonesha kuwa mapato yanayokusanywa kutokana na biashara ya madini Mkoani Arusha ni asilimia 40% ya maduhuli yote katika sekta ya madini mkoani Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa