• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

JE WAJUA??? HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA MKOA WA ARUSHA WAFIKIA ASILIMIA 93 ..

Posted on: October 9th, 2025

Serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kutekeleza mkakati wa kuhakikisha huduma za afya zinawafikia wananchi katika maeneo yao hususani wananchi waishio vijijini, lengo likiwa ni kupunguza na kuondoa kabisa vifo vya watoto chini ya miaka mitano pamoja na wajawazito wakati wa kujifungua.


Katika Mkoa wa Arusha, hali ya upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi imeongezeka hadi kufikia asilimia 93 mwaka 2025 kutoka asilimia 65 mwaka 2021, jambo ambalo limewezesha uwepo wa maduka ya dawa ndani ya hospitali, uwepo  wa mashine za kisasa katika hospitali zote za Serikali.


Jumla ya Hospitali mpya 8 zimejengwa kataka mkoa wa Arusha, hospitali ambazo zimesheheni vifaa tiba vya kisasa huku Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mount Meru ikiwa na Mashine za CT-Scan, ECHO, ECG na MAMOGRAPHY mashine ambazo hapo awali hazikuwepo kwenye Hospitali za Serikali.


Uwepo wa mashine hizo za kisasa kwa kiasi kikubwa zimepunguza rufaa za wagonjwa kwenda kupata huduma hizo kwenye Hospitali za Rufaa nje ya Mkoa, kama vile KCMC na Muhimbili, kwa sasa wagonjwa wanapata huduma hizo ndani ya mkoa licha ya kuokoa maisha lakini pia imepunguza gharama kubwa kwa wagonjwa.


Hata hivyo historia mpya imeandikwa katika Hospitali ya wilaya ya Karatu @halmashauri_ya_karatu serikali imesimika mitambo ya kuzalishia hewa ya Oksijeni, ambapo awali hewa ya Oksijeni ililazimika kununuliwa kwenye hospitali ya binasfsi, uwepo wa mtambo huo umerahisiha upatikanaji wa Oksijeni kwa wagonjwa wa dharura, katika hospitali zote za mkoa wa Arusha pamoja na mkoa jirani wa Manyara,


Kwa sasa wagonjwa wa rufaa wanaotibiwa ndani ya Mkoa huku idadi  wagonjwa 152,332 waliotakiwa kwenda kutibiwa nje ya Mkoa, wametibiwa katika Hospitali  ya Mkoa Mount Meru.


Awali, Mkoa wa Arusha umenufaika sana na mkakati wa uborsshaji huduma za afya nchini, kwa kupata fedha za kuboresha miundombinu ya kutolea huduma ya afya kwa kuimarika kwa hali ya utoaji na  upatikanaji wa huduma za Afya kwa wagonjwa.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • JE WAJUA??? HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA MKOA WA ARUSHA WAFIKIA ASILIMIA 93 ..

    October 09, 2025
  • KARATU DC YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA 2025

    October 06, 2025
  • WANANCHI HIFADHI YA NGORONGORO KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI...

    May 10, 2025
  • TUME YA TAIFA YA MIPANGO (NPC) YAKUSANYAJI WA MAONI YA KUTOKA KWA WADAU WA  SEKTA BINAFSI MKOA WA ARUSHA..

    October 03, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa