• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ALIYOSEMA MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI (Maelezo) NA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI BW. MOBHARE MATINYI LEO MEI 26, 2024 WAKATI WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI ULIOFANYIKA  KATIKA ENEO LA NGORONGORO, MKOANI ARUSHA.*..

Posted on: May 26th, 2024

# Kuanzi mwaka 2022 Serikali ilianza mpango wa kuwahamisha kwa hiari wananchi wanaoishi ndani ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera mkoani Tanga.


# Maeneo yaliyotengwa ili kuwawezesha wananchi kuhamia kwa hiari ni Msomera, Kitwai na Sauni.


# Uandikishaji wa wananchi wanaohama kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera unazingatia haki za binadamu.


# Mpango wa Serikali ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaohama Ngorongoro wanapata huduma bora za kijamii kama walivyo watanzania wengine.


# Mpango wa Serikali ni kujenga nyumba 5000 kati ya hizo 2500 zinajengwa Msomera na 1500 zitajengwa Kitwai  na 1000 Sayuni.


# Tangu awamu ya kwanza iliyoanza tarehe 16 Juni, 2022 hadi tarehe 18 Januari,  2023 jumla ya kaya 551 zenye watu 3,010 zilihama ambapo kaya 503 zenye watu 2,692 zilihamia Msomera na kaya 48 zenye watu 318 zilichagua kwenda maeneo mengine. Jumla ya mifugo iliyohamishwa katika  awamu hii ilikuwa 15,321.


# Awamu ya pili iliyoanza tarehe 24 Agosti, 2023 hadi 28 Aprili, 2024 kaya 822 zenye watu 5,354 zimehama ambapo kaya 745 zenye watu 4,855 zimehamia Msomera na 77 zenye wayu 499 zimehamia maeneo mengine. Jumla ya mifugo iliyohamishwa ni 21,136.


# Kwa awamu zote mbili jumla ya kaya 1,373 zenye watu 8,364 zimeshahama.


Eneo la Ngorongoro ni maarufu kwa  kwa faru weudi duniani.


# Watalii zaidi ya laki saba wametembelea eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kati ya Julai 2023  na Aprili 2024.


# Zaidi ya shilingi bilioni mia moja themanini na nane (188.5Bilioni) zimekusanywa kutokakana na ujio wa watalii waliotembelea eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.


#Serikali haijasitisha huduma kwa wananchi waliopo katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kama inavyodaiwa na baadhi ya watu.


# Wananchi wengi wamehamasika kuhama kwa hiari baada ya kupewa elimu ya umuhimu wa uhifadhi wa eneo la Hifadhi ya  Ngorongoro.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa