• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ARUSHA KUFIKIWA NA TRENI ,BAADA YA MIAKA 30

Posted on: August 11th, 2020

Viongozi wa Mkoa wa Arusha wametakiwa kuhakikisha wanatekeleza maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuhakikisha usafiri wa Treni unafiki katika Mkoa wa Arusha kwa usalama.

Ameyasema hayo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Kimanta, alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa tawala,Maafisa Tarafa na wenyeviti wa halmashauri ya jiji la Arusha na wilaya ya Arumeru.

Amesema maono ya Rais ni kuhakikisha treni inafika Arusha mwishoni mwa mwezi Agosti ili isaidie sekta ya usafirishaji na kuokoa muda wa wananchi kusafiri muda mrefu.

Ni miaka 30 imepita tangu treni ifike Mkoani Arusha,hivyo wananchi tunatakiwa kufurai na kuipokea kwa moyo mkunjufu.

Mkuu wa Kitengo cha udhibiti wa ajali kutoka shirika la Reli Tanzania bwana Maizo Mgedzi amesema, wananchi wanatakiwa kuchukua taadhari hasa kipindi ambacho treni itaanza kufanya kazi hasa wanaofanya shughuli mbalimbali karibu na reli.

Amesema ni hatari sana kufanya shughuli mbalimbali za kibinadamu karibu na reli kama kulima, kupitisha Wanyama,kuegesha Pikipiki na Magari,kuwa na Viwanja au kujenga karibu na reli.

Treni inaenda kuwa msaada mkubwa sana kwani itakuwa inaleta marighafi mbalimbali kwa ajili ya viwanda vilivyopo Arusha na hata kwa wafanyabiashara.

Mkoa wa Arusha kwa mara nyingine tena inaenda kuanzisha safari zake za Treni kutoka Mkoa wa Dar es Salaama hadi Arusha baada ya usafiri huo kusimama takribani miaka 30 sasa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa