• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ATAKAE HUJUMU MIUNDOMBINU YA MAJI ACHUKULIWE HATUA-RAIS SAMIA

Posted on: October 18th, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Wilaya ya Longido kuilinda miundombinu ya Maji ambayo serikali imewekeza fedha nyingi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la stendi mpya, Longido mjini.

Kwa yeyote atakaebainika kuhujumu miundombinu hiyo basi hatua kali za kisheria atachukuliwa.

Sambamba na mkutano amezindua mradi wa Maji katika Wilaya hiyo ya Longido uliogharimu bilioni 15 fedha za Serikali.

Amesisitiza kuwa Serikali inaendelea kuhakikisha Wilaya hiyo inapata Maji maeneo yote ifikapo Januari 2022 hasa katika mji wa Namanga.

Miradi yote inayotekelezwa ni fedha za Serikali zilizotokana na kodi za wananchi hivyo itunzwe na kulindwa kwa  umakini.

Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso, amesema jumla ya miradi 53 ya Maji inaletwa Mkoani Arusha itakayo gharimu bilioni 16.

Amesema miradi hiyo yote imelenga katika kuhakikisha Maji yanapatikana Mjini na Vijijini kwa urahisi zaidi na kumtua Mama ndoo kichwani.

Nae, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amemshukuru Rais Samia kwa kufanya ziara Mkoani Arusha na kukagua baadhi ya Miradi katika Jiji la Arusha, Arumeru na Wilaya ya Longido.

Aidha, Mhe.Mongella ameaidi kuendelea kuisimamia na kuilinda miradi yote ambayo serikali imetoa fedha zake takribani Bilioni 12.7 kwa Mkoa wa Arusha.

Mhe. Samia Suluhu Hassan amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku 2 Mkoani Arusha, ambapo alikagua mradi wa Maji Wilaya ya Arumeru ambao ni moja ya kisima cha mradi unaogharimu Bilioni 520, amefungua Hospitali ya Jiji la Arusha iliyogharimu Bilioni 2.5, amezindua kiwanda cha Nyama Londigo kilicho gharimu Bilioni 17 na akazindua mradi wa Maji Longido uliogharimu Bilioni 15.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa