• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

BALOZI WA SINGAPORE NCHINI TANZANI AAHIDI USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA UTALII..

Posted on: April 16th, 2024

Balozi wa Singapore nchini Tanzania Douglas Foo, akiungumza kwenye kikao cha fursa za Uwekezaji kwenye Mamlaka za Hifadhi za Taifa (TANAPA) kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jengo la Ngorongoro Jijini Arusha na kuahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuwekeza kwenye sekta ya Utalii.

Katika kikao hicho Balozi Foo amepata fursa ya kusikiliza fursa zinazopatikana Tanzania zilizowasilishwa na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), kikao chenye lengo la kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hususani kwenye maeneo hayo ya Hifadhi za Taifa.

Hata hivyo, Balozi huyo ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kuhifadhi rasilimali za asili licha ya uharibufu mkubwa wa mazingira unaoendelea duniani na kuahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania sanjari na kuwaeleza wananchi wa Singapore juu ya fursa zinazopatikana Tanzania kwenye Sekta ya Utalii ili waweze kuwekeza, lengo likiwa ni kuongeza pato la wananchi na serikali zote mbili.

"Arusha ni eneo zuri lenye nafasi kubwa yenye uoto wa asili inayosababisha hali ya nzuri ya hewa, Arusha kuna vivutio vingi vya Utalii vinavyohifadhiwa vizuri, ni mara yangu ya kwanza kufika Arusha lakini nimevutiwa na ukarimu wa wakazi wa Arusha na hali ya hewa nzuri, ninaifananisha Arusha na nchi yangu ya Singapore kwa utajiri wa rasilimali za asili, nimekuwa na safari nzuri kufika Arusha" Amebainisha Balozi Foo.

Kikao hicho, kimejumuisha wajumbe kutoka Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, TAWA na AICC, Sekretariet ya mkoa wa Arusha na Jijini Arusha, ambapo wamewasilisha vivutio mbalimbali vya uwekezaji kwa Balozi huyo.







Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa