• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

BALOZI WA UBELGIJI TANZANIA ATEMBELEA MIRADI YA USHIRIKIANO SEKTA YA KILIMO ARUSHA

Posted on: May 23rd, 2024

Balozi wa Ubelgiji nchini Tanzania, Mhe. Peter Van Acker, ametembelea miradi ya ushirikiano kwenye Sekta ya kilimo inayofadhiliwa na Serikali ya Ubeligii inayotekelezwa na Shirika lisilo la kiserikali la rikolto mkoani Arusha


Balozi Acker amelipongeza shirika hilo kwa kuendelea kusimamia miradi hiyo kwa uaminifu ili kusaidia wakulima wa Tanzania katika kuboresha afya na kuinua kipato cha wananchi na Serikali kwa ujumla.


Aidha ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea mashamba ya wakulima wanaonufaika na miradi hiyo yalipo kata za Nduruma na Mbuguni, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.


“Nimefurahi sana kutembelea miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na Nchi yangu Mkoani Arusha,kwa niaba ya Serikali ya Nchi yangu tutaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kusaidia wakulima na ninatamani kuona miradi kama hii ikifanyika kwenye maeneo mengine Nchini”. Amesema Balozi Van Acker.


Hata hivyo, Balozi Acker ameelezea furaha yake kuhusu maendeleo yanayopatikana kupitia ushirikiano huu, akisisitiza umuhimu wa kuendeleza juhudi za pamoja za kuboresha kilimo na kukuza uchumi wa vijijini.


Kwa upande wake Mratibu wa programu wa Shirika hilo la Rikolto amesema kuwa l;engo kuu la Shirika hilo ni kuongeza uzalishaji, kuboresha mifumo ya kilimo, na kusaidia wakulima kupata fursa za masoko ambapo Miradi hiyo imekuwa na mafanikio makubwa katika kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wakulima na jamii za vijijini.


Vile vile, wakulima hao wameweka wazi jinsi shirika hilo lisilo la kiserikali linavyowasaidia katika kutoa elimu na kuwawezesha katika kuzalisha mazao yenye ubora katika masoko ya nje na ndani ya nchi sambamba na kuwaunganisha na wanunuzi wa mazao hayo katika maeneo tofauti tofauti.


Awali, Miradi ya ushirikiano wa kilimo inayofadhiliwa na Ubelgiji inasaidia wakulima wa Tanzania kuboresha maisha yao na kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa