• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

CHUKUENI HATUA ZA KUDHIBITI MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

Posted on: November 13th, 2021

"Makadilio ya bajeti ya Afya dunia inakadiliwa kuwa Bilioni 4.65 sawa na asilimia 11% ya bajeti yote itatumika kutibu magonjwa yasiyoambukiza".

Takwimu hizo zimetolewa na Waziri wa Afya, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima alipokuwa akifunga kilele cha maadhimisho ya Kitaifa ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Jijini Arusha.

Amesema watanzania wasipochukua hatua za haraka za namna ya kujinga na magonjwa yasiyoambukiza kwa mujibu wa taarifa ya shirika la maendeleo duniani ya 2011/2025 inakadiliwa  kuwa trilioni 7 itatumika kama gharama za matibabu ya magonjwa hayo kwa nchi zenye  uchumi wa kati na chini na Tanzania ikiiwemo.

Ametoa wito kwa watanzania kuchukua tahadhari zote za kukabuliana na magonjwa hayo ili kuokoa kiasi hicho cha fedha kinachotarajiwa kutumika na badala yake fedha hiyo inaweza kwenda kutumika katika mambo mengine ya maendeleo.

Taarifa ya shirika la Afya duniani (WHO)  ya 2016 imeeleza kuwa takribani 33% ya vifo vinavyotokana na magonjwa hutokea kila mwaka na hadi sasa ni 40% ya vifo kwa baadhi ya maeneo hapa Tanzania.

Ambapo dolla trilioni 47 zimeshatumika katika matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza kwa mujibu wa taarifa ya shirika la maendeleo duniani ya mwaka 2013.

Dkt. Gwajima amesema, kutokana na katwimu hizi ni dhahiri kuwa bado juhudi kubwa zinaitajika kuchukuliwa kwa nchi yetu na Wizara imeshaanza kutoa elimu kwa jamii kupitia maadhimisho kama hayo ili kuwahakikishia watu wote wanapata uwele na kubadili tabia.

Amesisitiza zaidi ulaji wa vyakula vya asili kama vile Mbogamboga na Matunda kulingana na kipato cha mtu, kufanya mazoezi na kupima afya mara kwa mara kama njia za kuweza kudhibiti magonjwa hayo.

Nae, Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI anaeshughulikia Afya Dkt. Grace Magembe amesisitiza  zaidi kuwa magonjwa hayo ya Kisukari, Shinikizo  la juu la damu, Kansa Macho na mengine mengi huwa yanaanza kimya kimya katika mwili wa binadamu na yanapojitokeza ni muhimu kuanza matibabu haraka.

Aidha, amesema TAMISEMI itaendelea kuzisisitiza Mikoa na Halmashauri kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi ili wapate uwelewa zaidi wa magonjwa haya.

Amewataka viongozi wa Mkoa na Halmashauri waendelee kutoa wito kwa wananchi kuacha uvivu ili wanapofanya kazi kwa bidii inakuwa ni njia moja wapo ya kuepuka tabia bwete ( kukaa bila kujishughulisha) na watakuwa wanajikinga na magonjwa yasiyoambukiza.

Mwakilishi   wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella, bwana Hargeney Chitukulo amesema kati ya watu wanne ni mmoja tu ndio anaishi na tabia bwete na 30% ya watu wasiojishughulisha hufa.

Watu wengi wamesahau kula vyakula vya asili na kutofanya mazoezi ndio tabia zinazopelekea kuwa na magonjwa yasiyoambukiza.

Maadhimisho yaho yanafanyika kila mwaka na mwaka huu 2021 yamefanyika Mkoani Arusha kuanzia Novemba 6 hadi Novemba 13 na shughuli mbalimbali zilifanyika ikiwemo utoaji wa chanjo ya UVIKO 19 na watu takribani 173 wamepata chanjo hiyo ndani ya siku hizo za maadhimisho.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa