• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DC ARUMERU AWAPONGEZA WANAWAKE WA ARUSHA KUJITOKEZA KWA WINGI KUSHEREHEKEA SIKU YAO

Posted on: March 8th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, akizungumza na Maelfu ya wanawake mkoa wa Arusha, wameliojitokeza kwenye Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika kwenye viwanja vya Ngarenaro,Jijini Arusha.


Mhe. Emmanuela amewapongeza wanawake hao kwa kushiriki katika siku hiyo Maalum kwa wanawake wote Duniani, siku ambayo imeleta mwamko mkubwa kwa wanawake kwa kuwafanya kuwa wajasiri, kuungana kwa nguvu moja, kuinuana jambo ambalo limeleta mafanikio makubwa kwa wanawake wengi nchini.


Aidha, amewataka wanawake kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali yao ya awamu ya sita chini ya uongozi mahiri wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amabyo imatekeleza miradi mingi ya maendeleo inayomguza mwananmke moja kwa moja ikiwemo ujenzi wa shule na utoaji wa elimu bila malipo, uwepo wa vituo vya kutolea huduma za afya wenye lengo la kuondoa vifo vya wananwake na watoto wakati wa kujifungua, na kuongeza kuwa juhudi hizo za Serikali zinapaswa kuungwa mkono.


Ameongeza Kuwa, Serikali imeendelea kusimamia sera za kuwakomboa na kuwainua wanawake kijamii na kiuchumi, kwa kuwajengea uwezo pamoja na kuwawezesha kuunda vikundi vya kuweka na kuwekeza na kuanziasha biashara ndogondogo na kupata mikopo isiyokuwa na riba inayotolewa na Mamlakala za Serikali za Mitaa.


Kauli Mbiu ni "Wekeza kwa Mwanawake ili Kuharakisha Maendeleo ya Taifa Pamoja na Ustawi wa Jamii"


#arushafursalukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa