• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DED MERU DC AFANYA KIKAO KAZI NA MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO.

Posted on: August 7th, 2024

Na Elinipa Lupembe 


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya, amakutana na Madereva wa Halmashauri hiyo na kufanya kikaa kazi, chenye lengo la kukumbushana majukumu na kupata mrejesho wa kazi zinazotekelezwa na madereva hao katika Halmashauri hiyo. 


Mkurugenzi Makwinya, amewataja Madereva kuwa ni injini ya Halmashauri kwa kuwa bila wao, Halmashauri haiwezi kufikia malengo yake, wakiwa na kazi kubwa ya kuwapeleka watalamu kwenye usimamizi wa Miradi ya maendeleo na utekelezaji wa kazi zote ikiwemo ukusanyaji wa mapato. 


"Nyinyi mnafahamu maeneo yote ya halmashauri, maeneo ambayo shughuli za halmashauri zinatekelezwa ikiwemo miradi ya maendeleo, mnavifahamu vyanzo vyote vya mapato pamoja na maeneo yote ya wananchi, nikitaka kupata taarifa mnaweza kunipa taarifa nzuri kwa kuwa kila wakati mnapita katika maeneo mbali mbali ya halmashauri" Amesema Makwinya.


Aidha, Mkurugenzi huyo licha ya kueleza namna anavyotambua kazi kubwa inayofanywa na madereva hao, amewataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kufikia malengo ya halmashauri na ya Serikali kwa ujumla wake kwa kuzingatia kanuni,sheria na taratibu za utumishi wa Umma kwa kuwa Serikali imewaamini na kuwakabidhi jukumu hilo.


Hata hivyo, katika kikao hicho, Mkurugenzi amewaalika wataalam kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kutoa elimu ya matumizi ya vyombo vya moto na namna ya kujikinga na Majanga. 


Naye, Afande wa Jeshi la Zimamoto Wilaya ya Arumeru, ASF.  Kimaro ametoa  elimu ya matumizi na usalama wa vyombo vya moto kama vile matumizi sahihi ya " Fire Extinguisher" pamoja na upimaji wa vyombo wanavyovitumia.


ASF Kimaro amewataka Madereva hao, kuwa na tabia ya kufanyia uchunguzi wa kiufundi magari wanayoyaendesha, ikiwa ni pamoja na kuyapeleka magari hayo kukaguliwa na Jeshi la Zimamoto.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa