• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DKT. MAHERA AWASIHI WADAU KUONGEZA UFADHILI MFUMO WA GOTHOMIS

Posted on: July 27th, 2024


Ofisi ya Rais - Tamisemi 


Naibu Katibu Mkuu anayeshughilikia Afya Ofisi ya Rais - TAMISEMI Dkt. Charles Mahera amewataka wadau kuangalia uwezekano wa kuongeza ufadhili wa kuwezesha mfumo wa usamizi wa huduma za Afya kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa (GOTHOMIS) kuunganishwa kwenye vituo vya kutolea huduma kwenye Mikoa 25 iliyobakia.


Dkt. Mahera ametoa ombi hilo wakati wa ziara ya  ujumbe kutoka Ubalozi wa Korea ya Kusini nchini Tanzania wenye lengo la kuona maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Kupanua matumizi ya GOTHOMIS mkoani Dodoma.


Amesema mradi huo unaofadhiliwa na Serikali ya Korea ya Kusini kupitia shirika lake la Ushirikiano wa Kimataifa (KOICA) unatarajia kuvifikia vituo 235 vya kutolea huduma za afya mkoani Dodoma.


Aidha amebainisha kuwa utekelezaji wa mradi huo umeleta tija kwa vituo vinavyotumia mfumo huo hivyo amewaomba KOICA kupitia ubalozi wa Korea ya Kusini kuangalia uwezekano wa kuwezesha mradi huu kufika katika Mikoa mingine ili kuongeza uimarishaji wa matumizi ya Mfumo wa GOTHOMIS katika utoaji wa huduma za afya.


Naye kaimu Balozi wa Korea ya Kusini nchini Tanzania Ndg. Seung Yeon Lee alisema amefurahishwa na utekelezaji wa mradi na hatua zilizofikiwa licha ya kuwepo kwa changamoto kadhaa.


Ujumbe huu kutoka Ubalozi wa Korea ya Kusini pamoja na kutembelea Ofisi ya Rais - TAMISEMI, ulitembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma pamoja na kutembelea kituo cha Afya Makole ambacho kimekamilisha mafunzo na kuanza matumizi ya mfumo wa GOTHOMIS chini ya ufadhili wa mradi huo.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa