• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DONDOO MUHIMU ZA UWANJA WA MICHEZO UTAKAOJENGWA ARUSHA

Posted on: April 6th, 2024


Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, akizungumza na hadhara ya wananchi waliohudhuria halfa ya kumkabidhi Mkandarasi eneo la kujenga Uwanja wa Mpira wa miguu Arusha, kata ya Olmoti jijini Arusha leo Aprili 06, 2024.


Katibu Mkuu huyo, amesema leo tumekabidhi eneo la ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha kwa Mkandarasi ambaye ni kampuni CRCEG.


Na kuzifafanua Dondoo Muhimu ikiwemo:- 


1. Uwanja unajengwa katika eneo la Mirongoine, Kata ya Olmoti ndani ya Jiji la Arusha.

2. Ujenzi utafanyika kwa muda wa miezi 24.

3. Utakuwa kati ya viwanja bora vya mpira Barani Afrika.

4. Utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji 30,000

5. Utajengwa kwa mchanganyiko wa muonekano wa madini ya Tanzanite, Mlima Kilimanjaro, Eneo la Ngorongoro na Hifadhi ya Serengeti.

6. Utajengwa sambamba na viwanja viwili vya mazoezi na baadaye utaendelezwa kwa kujengwa Bwawa la Kuogelea, viwanja Tenisi, Baskketball na Hosteli.

7. Utawekwa vyumba maalum vya watu mashuhuli (Directors Boxes).

8. Utatumika katika Fainali za AFCON 2027.


Aidha Amemshikuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fursa hii kubwa sana kwa Watanzania.


Awali Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt.Damias Damian Ndumbaro (Mb), amemkabidhi Mkandarasi Eneo la kujenga uwanja huo, hafla iliyofanyika kata ya Olmoti jijini Arusha.


#arushafursalukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa