• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DUMISHENI UPENDO NA MSHIKAMANO MAHALI PA KAZI-RC KIMANTA

Posted on: February 5th, 2021

Mkuu wa mkoa wa Arusha, mheshimiwa Idd Kimanta, amewaongoza wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake, kuuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, marehemu Richard Kwitega, shughuli iliyofanyika mapema leo, kwenye uwanja wa Sheik Amri Abeid jijini Arusha.

Akitoa salamu za rambirambi mbele maelfu ya waombelezaji, wakiwemo wafanyakazi wa Idara na Taasisis malimbali za mkoa wa Arusha na mikoa ya Kanda ya Kaskazini, Mkuu huyo wa mkoa, licha kuhuzunishwa sana, na kifo cha Bwana Kwitega amewataka waombolezaji hao kuyaishi matendo mema, aliyoyaishi marehemu Kwitega wakati wa uhai wake, kwa kudumisha upendo na ushirikiano mahala pa kazi.

Mheshimiwa Kimanta, amemuelezea Marehemu Kwitega, kuwa alikuwa ni mwenye mahusiana mazuri ya kikazi na kijamii katika eneo la kazi na kuongeza kuwa alikuwa ni kiungo na mhimili imara kati ya watumishi wa serikali, sekata binafsi, mashirika yasiyo ya kiserika pamoja na vyama vya siasa na daima alihakikisha shughuli na mipango yote ya serikali inatekelezeka ndani ya mkoa wa Arusha kwa mafanikio makubwa sana katika sekta zote.

Kama nii kipuri cha gari, Kwitega niliweza kumuita 'shokomzoba',  alikuwa ni mhimili wa shughuli zote za mkoa wa Arusha, aliyefanyakazi bila kuchoka, bila ubaguzi, bila majungu na kumuheshimu mkubwa kwa mdogo. ninasema tanguli Richard, tangulia Richard, hii ni kazi ya Mungu, tunaamini na sisi tuko nyuma yako" Amesisitiza Mkuu wa mkoa kwa uchungu mkubwa.

Marehemu Richard Kwitwega, amefariki kwa ajali ya gari siku ya Jumatano tarehe 03.02.2021, eneo la Mdorii mkoani Manyara, akiwa njiani kuelekea mkoani Dodoma na mwili wake unasafirishwa leo kuelekea mkaoni Mwanza wilaya ya Sengerema kwa mazishi yatakayofanyika siku ya Jumamosi.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa