• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ENDELEENI KUDUMISHA AMANI,UPENDO NA MSHIKAMANO

Posted on: August 20th, 2020

“Nendeni mkawe chachu ya kujenga amani na upendo miongoni mwenu na hata kwa nchi pia.”

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta alipokuwa akifunga Mkutano wa 44 wa Kitaifa wa viongozi wa kanisa la wabaptist Tanzania, jijini Arusha.

Amesema kanisa lina mchango mkubwa sana wa kuleta amani, umoja na mshikamano miongoni mwao na nchi kwa ujumla kwani wao kama viongozi wa kanisa hilo wanahudumia waumini wengi.

Amewataka viongozi hao wakawe mstari wa mbele katika kulikuza kanisa hilo kwani yote waliyojadiliwa hapo ni maagano wameweka baina yao na mwenyezi Mungu.

Wajibu wao mkubwa ni kwenda kuwatumikia waumini wao lakini na Mungu pia.

Aidha, amesema serikali inatambua sana mchango unaotolewa na makanisa katika kujenga nchi hasa kwa kuleta amani na upendo miongoni mwa waumini.

Pia, amewashukuru viongozi hao kwa mchango mkubwa unaotolewa na kanisa hilo kwenye shughuli za maendeleo hasa kwenye sekta ya elimu na afya.

Nae, Baba askofu wa kanisa la Baptist Tanzania Arnold Manase Mollel, amesema kanisa hilo linatambua mchango na juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano na hivyo wataendelea kutoa ushirikiano katika kuleta maendeleo ya nchi.

Aidha, amesema kanisa hilo limekuwa likifundisha amani,upendo na mshikamano kwa waumini wake na litaendelea kufanya hivyo.

Mkutano huo umewakutanisha viongozi mbalimbali kutoka katika kanda zote 8 za kanisa hilo zilizopo nchini, na limetimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa